Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 10,067
- 17,884
Ogopa mtu aliekata tamaa
Na wewe Mkuu utakuwepo?
Ogopa mtu aliekata tamaa
nenda mwanahalisi forum kule upo huru kufanya utakavyo maana mnaumiliki kule sio huku jfMbona unanifuata fuata kama mumeo?sitaki uni quote kabisa
Nimecheka sanakikinuka kila mtu afe na chake
haya mambo usiyadharau sana.Inanisikitisha sana kuskia upuuz kama huu, yaani mmekaa mkafiria sasa twende tukawatenge wananchi kwa itikadi zenu kipuuzi puuzi tuu, kwa taarifa yenu muishie huko huko mtengane hukohuko, watu wafarakane kwa kutetea matumbo ya watu wachache, sio siri huku ndio mnako force tuelekee
Tatizo wewe mwenyewe siasa umeigeuza kuwa dini!UZURI ni kwamba WATANZANIA hatujafikia level hii ya kufanya MAIGIZO mnayotaka tufanye..afu MKAE MJUE vyama vya SIASA SI DINI ZETU wala MAKABILA YETU kiasi kwamba inaweza tenganisha umoja wetu.....NA KATIKA HILI MNAJIDANGANYA maana CDM haina ushawishi wowote kwa WATANZANIA kwa kipindi hichi ambacho WATANZANIA wote tunamuona MAGUFULI NDIO MKOMBOZI WETU.....kuthibitisha hili tuone kama mtafanikiwa mnachotaka kukifanya.....
AFU na nyie BAVICHA ebu mtuambie TOKEA huu mwaka umeanza mmeisha toa matamko mangapi juu ya SERIKALI HII na JE MAFANIKIO yenu juu ya HAYA MATAMKO ni yepi???...EBU TUPENI MREJESHO ili tuwasapoti katika hili....MAANA TUMEISHA WACHOKA NA MATAMKO YENU YA SIYO KUA NA KICHWA WALA MIGUU
Tamko la vijana limezingatia yote haya , aliyetamka naye anao ndugu waliosalia gizani , bali ameona hali halisi , kama unaye ndugu ambaye ni sehemu ya wanaokunyanyasa unaogopa nini kuachana naye ? Undugu ni lazima uwe wa pande mbili .Kama ndugu yako ni ccm na amefariki utafanya nn na wewe cdm
Inanisikitisha sana kuskia upuuz kama huu, yaani mmekaa mkafiria sasa twende tukawatenge wananchi kwa itikadi zenu kipuuzi puuzi tuu, kwa taarifa yenu muishie huko huko mtengane hukohuko, watu wafarakane kwa kutetea matumbo ya watu wachache, sio siri huku ndio mnako force tuelekee