Kumekucha CCM vs UKAWA

Kumekucha CCM vs UKAWA

Vitabu vyote vya dini vimeandika nini chanzo cha dhambi na anguko la jamii/tawala mbalimbali. Samson alighilibiwa na Del. Hamkani si shwari tena,huko bungeni ni chanzo cha haya. Mh S Sita aliongiza kipindi kigumu,tukavuka. Akaja mama Anne,tukavuka. Busara ni muhimu kuongoza jamii kuliko mistari ya sheria
 
Kuna watu wanatafuta ulemavu kwa nguvu.

Watazuia kikao ambacho rais atakuwepo?
 
Kuna watu wanatafuta ulemavu kwa nguvu.

Watazuia kikao ambacho rais atakuwepo?
Mkuu hizi ni mbwembwe tuh za HAWA VIJANA wanatafta kiki kwa kutoa matamko ili TUJUE NA WENYEWE WAPO....hIVI TOKEA HUU MWAKA UMEANZA UMESIKIA MATAMKO YAO MANGAPI??? nA KATIKA hayo matamko ni lipi limeleta positive impact kwa wanachokipigania???......Me nahisi wanakula posho kwenye haya matamko yao si bure maana ni mengi kweli.....
 
Naona ya Pemba Yanajongea Bara...
Hatuja fikia HATUA hiyo na hatutafikia..... EBU ACHENI KUJIFARIJI na VITAMKO vyenu VYA POSHO maana mna matamko mengi kweli ndani ya mwaka huu.....HUU NI MRADI SI BURE
 
Hili tamko ni kipumbavu Sana hawa watu tuwaogope kuliko ukoma. Hawafai kuwa viongozi.
Hawafai kivipi wakati tayari ni viongozi?punguza hisia!hili ndo tatizo kujiona mnajua kila kitu kumbe upande wa pili wana uwezo pengine kuwashinda!nchi yetu sote tuishi kwa kusikilizana na kuvumiliana!haya mambo yanaanza hivihivi kama utani,juzi waligomea vikao vya NS,jana wamekataa kushiriki kwenye futari leo wamesusia hili na kesho jingine!wenye akili lazima watafakari.
 
Dah, maridhiano kwenye siasa ni jambo la busara sana, lakin siku zote ubabe una demand ukatili na kibri
Dawa ya Dharau kibri, wenye hekima na busara nchi hii mbona wapo wengi?
Dr Tulia, inteligence never trumps wisdom, source imeanzia huko bungeni,hakuna anegeuza shingo, let it happen that if we cant live like brothers, let us perish like fools

Hivi nani aliyewafukuza bungeni?

Unajua mkifanyacho ni kama wenza waliotengana na mmoja kaenda kwao.

Anakaa siku alizotegemea mwenzie lazima amrudie zinapita anarudi na kufanya kitimbi kingine kama alimuacha mtoto anamrudia na kuondoka naye. Bado anaona arejewi anarudi kudai vyombo. Bado arejewi wala ndugu hawaingilii anashitaki ustawi wa jamii. Bado arejewi antishia kunywa sumu. Bado arejewi sana anataka kuchoma nyumba moto.

Kuishi katika ndoa unataka vitimbi vya nini? Hiki chama cha watoa matamko hawana akili. Mtu wa kumtolea matamko ni nani hasa? Mh Magufuli? Kweli viroba vibaya. Hapa ni kazi tu mmelikoroga kunyweni wenyewe. Waambieni hao wakosa adabu wenu huko bungeni waache ujinga warudi wafanyekazi.

Hivi wanachotaka wafanyweje hasa? Semeni, kwani hakuna amri ya NS kuwafukuzeni. Ndio maana inakuwa ngumu viongozi wa dini na wazee wenyekuheshimika sana humu nchini kuliingilia. Nyie ndio waathirika nyinyi ndio wasababisha uathirika wenu na uwezo wa kuacha vitendo vya kujiathiri mnao wanashindwa waingie wapi kuwasaidia.

Huenda huu ujinga waliouamua huwa unauraibu kiasi kwamba mtu hushindwa kujiondoa mwenyewe. Waseme basi kuwa wamekuwa mateja wa kutoka nje ili waanzekutumia dawa ya kuondokana na huo ujinga.
 
Inanisikitisha sana kuskia upuuz kama huu, yaani mmekaa mkafiria sasa twende tukawatenge wananchi kwa itikadi zenu kipuuzi puuzi tuu, kwa taarifa yenu muishie huko huko mtengane hukohuko, watu wafarakane kwa kutetea matumbo ya watu wachache, sio siri huku ndio mnako force tuelekee
Tumia akili wewe.... Nyie si ndio mmeanza kututenga kuanzia bungeni?
 
Mkimaliza kutoa matamko yasiotekelezeka, ingieni barabarani tuwachape akili zenu finyu zirudi.
 
Back
Top Bottom