Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,890
- 17,742
Pole mkuu, naona unatetea ugali, ila in a mattee of time, ikishaingia kwenye social circle ikaeleweka mtaelewa maana yake.Hivi nani aliyewafukuza bungeni?
Unajua mkifanyacho ni kama wenza waliotengana na mmoja kaenda kwao. Anakaa siku alizotegemea mwenzie lazima amrudie zinapita anarudi na kufanya kitimbi kingine kama alimuacha mtoto anamrudia na kuondoka naye. Bado anaona arejewi anarudi kudai vyombo. Bado arejewi wala ndugu hawaingilii anashitaki ustawi wa jamii. Bado arejewi antishia kunywa sumu. Bado arejewi sana anataka kuchoma nyumba moto.
Kuishi katika ndoa unataka vitimbi vya nini? Hiki chama cha watoa matamko hawana akili. Mtu wa kumtolea matamko ni nani hasa? Mh Magufuli? Kweli viroba vibaya. Hapa ni kazi tu mmelikoroga kunyweni wenyewe. Waambieni hao wakosa adabu wenu huko bungeni waache ujinga warudi wafanyekazi.
Hivi wanachotaka wafanyweje hasa? Semeni, kwani hakuna amri ya NS kuwafukuzeni. Ndio maana inakuwa ngumu viongozi wa dini na wazee wenyekuheshimika sana humu nchini kuliingilia. Nyie ndio waathirika nyinyi ndio wasababisha uathirika wenu na uwezo wa kuacha vitendo vya kujiathiri mnao wanashindwa waingie wapi kuwasaidia.
Huenda huu ujinga waliouamua huwa unauraibu kiasi kwamba mtu hushindwa kujiondoa mwenyewe. Waseme basi kuwa wamekuwa mateja wa kutoka nje ili waanzekutumia dawa ya kuondokana na huo ujinga.
Siasa ina nguvu sana hapa duniani na kwa jamii, busara ni muhimu, udongo uwah ungal maji