Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
jamaa alinyolewa rasta na nguo za chama unachokitaja,shauri yako hii ni arusha tofauti kabisa na igunga.
Nimetoa tahadhari kabla ya hatari, sasa itakula kwenu hii. Jifurahisheni tu nafsi zenu humu kwa matusi ambayo hayanitii shughuliHuyu mtoa mada nafkiri hana akili manake mimi natoka Arumeru na huku ukisema ccm unaweza ukauwawa wandugu labda aseme yeye yuko wapi
Uongo ni sawa na Uchangudoa
So kupita huyo Mwigulu ndo vijana wahamie ccm kwani ana sera gani za maana?
Jimbo hilo ni mla ukoo?Mtoto wa marehemu ...anayefanya kazi stannic baada ya kufukuzwa crdb..ndio atakayegombea kwa ticket ya ccm
Mtu mwenyewe Mchemba?
Jimbo hilo ni mla ukoo?
Wakuu nipo hapa Arusha siku ya 4 sasa na nimetembelea sehemu kadha wa kadha. Hakika CCM wako vizuri sana kwani baada ya Bw. Mwigulu kupita huku, vijana wamerhamasika kupita kiasi na wengi wamerudisha kadi zao za CDM. Pita maeneno ya Kikatiti, maji ya chai,Usa, Leganga, Kilala, King'ori, Ngarenanyuki,, kwa Pole, Maroroni,Ngurdoto kote hukpo wimbo ni CCM tu. Si dalili nzuri kwa upinzani hasa kuelekea uchaguzi mdogo