Kumekucha Arumeru

Wakuu nipo hapa Arusha siku ya 4 sasa na nimetembelea sehemu kadha wa kadha. Hakika CCM wako vizuri sana kwani baada ya Bw. Mwigulu kupita huku, vijana wamerhamasika kupita kiasi na wengi wamerudisha kadi zao za CDM. Pita maeneno ya Kikatiti, maji ya chai,Usa, Leganga, Kilala, King'ori, Ngarenanyuki,, kwa Pole, Maroroni,Ngurdoto kote hukpo wimbo ni CCM tu. Si dalili nzuri kwa upinzani hasa kuelekea uchaguzi mdogo

umetumwa kupima upepo?kwa jinsi ninavyowajua magamba urejeshwaji wa kadi za cdm ungepata covarage kubwa sana tbc.pia nikusaidie kitu wameru wanamsimamo mwigula hana ushawishi kwa wameru hata kidogo.
 
Wakuu nipo hapa Arusha siku ya 4 sasa na nimetembelea sehemu kadha wa kadha. Hakika CCM wako vizuri sana kwani baada ya Bw. Mwigulu kupita huku, vijana wamerhamasika kupita kiasi na wengi wamerudisha kadi zao za CDM. Pita maeneno ya Kikatiti, maji ya chai,Usa, Leganga, Kilala, King'ori, Ngarenanyuki,, kwa Pole, Maroroni,Ngurdoto kote hukpo wimbo ni CCM tu. Si dalili nzuri kwa upinzani hasa kuelekea uchaguzi mdogo
ndo huyu jamaa aliyekamatwa anamla mwanakondo wa kada mwenzake kule igunga? aisee wana CCM Arumeru fungieni wake zenu jamaa ni Nomaaa......nomaaaa.......
 
kuijua mitaa ya arumeru sio kigezo cha kutoa mada ya uongo acha ubwege wewe kama mapenzi yako kwa magamba ni yako tu usiusemee umma wa wa arumeru yambaaff!!!

sasa wewe na yeye Bwe ge nani? Mtoa Mada ana siku 4 tu Arumeru halafu kajaza upupu na wewe unashadadia. Je unafahamu vizuri maeneo aliyoyataja?
 
Wakuu nipo hapa Arusha siku ya 4 sasa na nimetembelea sehemu kadha wa kadha. Hakika CCM wako vizuri sana kwani baada ya Bw. Mwigulu kupita huku, vijana wamerhamasika kupita kiasi na wengi wamerudisha kadi zao za CDM. Pita maeneno ya Kikatiti, maji ya chai,Usa, Leganga, Kilala, King'ori, Ngarenanyuki,, kwa Pole, Maroroni,Ngurdoto kote hukpo wimbo ni CCM tu. Si dalili nzuri kwa upinzani hasa kuelekea uchaguzi mdogo

ee mungu rudisha madaktari kazi ili wawatibu wenye mtindio wa ubongo kama huyu jamaa nadhani analo hilo tatizo au malaria imempanda kichwani
 
Hongereni CCM kwa kupokea wanachama kutoka CDM lakini tambueni kuwa tangulieni tu lakini bado hamjafika popote na 2015 sio mbali.Na Chadema haijajikita ktk kuchukua majimbo kama unavyotafsiri bali kutoa elimu ya uraia.Huwezi kumkomboa mtu bila kumfanya ajitambue na hapo ndipo chadema inazingatia.Chadema ni wananchi na si kikundi cha wezi kama walivyo Magamba....!
 
nikibahati kwenda arumeru wiki mbili zijazo nitawaletea full data na picha ya hali ya arumeru ilivyo na si hii ya kusadikika
 
Wakuu nipo hapa Arusha siku ya 4 sasa na nimetembelea sehemu kadha wa kadha. Hakika CCM wako vizuri sana kwani baada ya Bw. Mwigulu kupita huku, vijana wamerhamasika kupita kiasi na wengi wamerudisha kadi zao za CDM. Pita maeneno ya Kikatiti, maji ya chai,Usa, Leganga, Kilala, King'ori, Ngarenanyuki,, kwa Pole, Maroroni,Ngurdoto kote hukpo wimbo ni CCM tu. Si dalili nzuri kwa upinzani hasa kuelekea uchaguzi mdogo

Acha uongo ndg yangu, mi mbona ni mwenyej wa mitaa hyo na hakuna hyo mambo? Af ungejua ccm ilvochakaa mitaa hii, ungekaa kimya kabsa, kilala na makumira na usa river na mchai ndo usjarib kutaja ccm wala kuvaa kijan na njano! Nyoooo.... Mwone.!
 
Wakuu nipo hapa Arusha siku ya 4 sasa na nimetembelea sehemu kadha wa kadha. Hakika CCM wako vizuri sana kwani baada ya Bw. Mwigulu kupita huku, vijana wamerhamasika kupita kiasi na wengi wamerudisha kadi zao za CDM. Pita maeneno ya Kikatiti, maji ya chai,Usa, Leganga, Kilala, King'ori, Ngarenanyuki,, kwa Pole, Maroroni,Ngurdoto kote hukpo wimbo ni CCM tu. Si dalili nzuri kwa upinzani hasa kuelekea uchaguzi mdogo

Aaah mkuu hao wenzio walishaamka long time sana''
 
Wakuu nipo hapa Arusha siku ya 4 sasa na nimetembelea sehemu kadha wa kadha. Hakika CCM wako vizuri sana kwani baada ya Bw. Mwigulu kupita huku, vijana wamerhamasika kupita kiasi na wengi wamerudisha kadi zao za CDM. Pita maeneno ya Kikatiti, maji ya chai,Usa, Leganga, Kilala, King'ori, Ngarenanyuki,, kwa Pole, Maroroni,Ngurdoto kote hukpo wimbo ni CCM tu. Si dalili nzuri kwa upinzani hasa kuelekea uchaguzi mdogo
Usafi wa dume la mende barabarani lakini analala juu ya kinyesi..
 
Wakuu nipo hapa Arusha siku ya 4 sasa na nimetembelea sehemu kadha wa kadha. Hakika CCM wako vizuri sana kwani baada ya Bw. Mwigulu kupita huku, vijana wamerhamasika kupita kiasi na wengi wamerudisha kadi zao za CDM. Pita maeneno ya Kikatiti, maji ya chai,Usa, Leganga, Kilala, King'ori, Ngarenanyuki,, kwa Pole, Maroroni,Ngurdoto kote hukpo wimbo ni CCM tu. Si dalili nzuri kwa upinzani hasa kuelekea uchaguzi mdogo

Kwa tahadhari tu, huyu jamaa ni afadhali asiende huko Arumeru, wakimjua ndiye aliyeleta ghasia yote kule Igunga sidhani kama atarudi. Lazima atamiminiwa mawe au watamchemshia maji ya moto. Hawezi kuwapa vidume kazi ya kulinda wake zao wakati wanakazi za kufanya.
 
Back
Top Bottom