Kumekucha Arumeru

Kumekucha Arumeru

Wakuu nipo hapa Arusha siku ya 4 sasa na nimetembelea sehemu kadha wa kadha. Hakika CCM wako vizuri sana kwani baada ya Bw. Mwigulu kupita huku, vijana wamerhamasika kupita kiasi na wengi wamerudisha kadi zao za CDM. Pita maeneno ya Kikatiti, maji ya chai,Usa, Leganga, Kilala, King'ori, Ngarenanyuki,, kwa Pole, Maroroni,Ngurdoto kote hukpo wimbo ni CCM tu. Si dalili nzuri kwa upinzani hasa kuelekea uchaguzi mdogo
sio bure umerogwa ni nani huyo mwenye hamu ya lichama linaloangamiza uchumi lilishindwa kila ilichoahidi maisha bora chali uchumi chali, noti mpya chali,yaani kila kitu chali isipokuwa kulishana sumu tu ndio wako juu sasa huyo anayetafuta kadi ya chama hilo lazima atakuwa kichwa kibovu kama sio laana
 
umetumwa kupima upepo?kwa jinsi ninavyowajua magamba urejeshwaji wa kadi za cdm ungepata covarage kubwa sana tbc.pia nikusaidie kitu wameru wanamsimamo mwigula hana ushawishi kwa wameru hata kidogo.
hakika wewe ni GREAT THINKER
 
Wakuu nipo hapa Arusha siku ya 4 sasa na nimetembelea sehemu kadha wa kadha. Hakika CCM wako vizuri sana kwani baada ya Bw. Mwigulu kupita huku, vijana wamerhamasika kupita kiasi na wengi wamerudisha kadi zao za CDM. Pita maeneno ya Kikatiti, maji ya chai,Usa, Leganga, Kilala, King'ori, Ngarenanyuki,, kwa Pole, Maroroni,Ngurdoto kote hukpo wimbo ni CCM tu. Si dalili nzuri kwa upinzani hasa kuelekea uchaguzi mdogo

ww uko siku ya nne? Mim nimezaliwa na magamba hawana chao
 
Wakuu nipo hapa Arusha siku ya 4 sasa na nimetembelea sehemu kadha wa kadha. Hakika CCM wako vizuri sana kwani baada ya Bw. Mwigulu kupita huku, vijana wamerhamasika kupita kiasi na wengi wamerudisha kadi zao za CDM. Pita maeneno ya Kikatiti, maji ya chai,Usa, Leganga, Kilala, King'ori, Ngarenanyuki,, kwa Pole, Maroroni,Ngurdoto kote hukpo wimbo ni CCM tu. Si dalili nzuri kwa upinzani hasa kuelekea uchaguzi mdogo


Tafakari uwezekano wa kadi kupiga kura,mimi ninavyojua ni binadamu ndio anapiga kura.

Kwaheri.
 
umetumwa kupima upepo?kwa jinsi ninavyowajua magamba urejeshwaji wa kadi za cdm ungepata covarage kubwa sana tbc.pia nikusaidie kitu wameru wanamsimamo mwigula hana ushawishi kwa wameru hata kidogo.
mzaha mzaha hutumbua usaha.....Igunga ilikuwa hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom