Kumbukumbu ya Brigedia Gen. Moses Nnauye!

Kumbukumbu ya Brigedia Gen. Moses Nnauye!

Ule ulikua ni mchezo wa kitoto wa mzee makamba baada ya kushindwa kumnyamazisha Nape kuhusu hilo jengo jambo ambalo aliwaahidi kina lowassa kwamba nape wamuachie yeye kwa kuwa mwanae atamtuliza.

ndio mana makamba alipoanza kuropoka baada ya kumtumia yule mjane wa nyumba kubwa kwamba nape si mtoto wa mzee Nnauye,Nape aliwaambia waandishi waliomuuliza kwamba nasikia yeye sio mtoto wa moses nnauye,akawajibu wakamuulize makamba je yeye Nape alikua anaishi kwa mzee makamba na kina Januari, Ridhiwani na Mwamvita kama nani??

Waandishi walipomuuliza makamba hilo swali hakujibu, badala yake akamwita Nape wayamalize na kumtuliza zaidi akamtuma amuwakilishe kwenye mkutano mkuu wa chadema ambao makamba alialikwa pale sabasaba PTA hall, nyie watoto wa kiarusha mlikuwepo pale siku ile?

Hizo blue zina mengi yaliyojificha nyuma yake na hasa nikiangalia mwelekeo wa siasa za Bongo. Mungu ambariki Mzee Marope kwa kukubali kulea watoto wa nyumba za pembezoni, malipo yake amepata hapa hapa duniani!

Mzee Nnauye heshima mbele kwa uzalendo wako, nyimbo zako bado zinapendwa na wazalendo wachache. Kinanda chako kinakimbusha 10 Div pale Makao Makuu Tabora. Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yako mahali ulipojichagulia mwenyewe kabla hujafa, ameni!
 
Tangazo hili limerudiwa leo kwenye gazeti la Mtanzania, bado jina la NAPE halijaoneka. Nimeambiwa anaowaita ndugu zake hawamtambui. Hata familia ya NNAUYE haitaki kumuona kwa sababu wanaamini Nape sio mtoto wao. Nape mwanachama humu jamvini tujuve kwa nini ndugu zako hawataki kukutambua.
 
Tangazo hili limerudiwa leo kwenye gazeti la Mtanzania, bado jina la NAPE halijaoneka. Nimeambiwa anaowaita ndugu zake hawamtambui. Hata familia ya NNAUYE haitaki kumuona kwa sababu wanaamini Nape sio mtoto wao. Nape mwanachama humu jamvini tujuve kwa nini ndugu zako hawataki kukutambua.

Halafu itasaidia nini hasa katika mustakabali mzima wa maendeleo ya taifa hili labda wewe unavyodhani???kama hiyo serikali nzima na ukubwa wake wote chadema haiitambui na mambo yanakwenda itakua mtu mmoja mdogo kama nape kutotambuliwa na familia yake?mbona mnaenda personal kiasi hicho great thinkers?mmekumbwa na nini hivi karibuni?
 
Namkumbuka sana Moses Nnaye kama msanii mpigaji kinanda mahiri sana na vile vile hakucheza mbali na akina mama pia.

Mola amlaze pahala panapostahiki.

Akiwamo Anna Abdallah.......nadhani palipatikana mtoto pia
 
Watu wa kukumbukwa kwenye hii nchi ni wawili tu, Nyerere na Sokoine University of Agriculture. Hao wengine ni wa kuwapotezea tu.


Ww hujui huu umaskini tulio nao sasa ni kwa sababu ya Nyerere, tutaendelea kumkumbuka kwa kutuletea umaskini !
 
Ww hujui huu umaskini tulio nao sasa ni kwa sababu ya Nyerere, tutaendelea kumkumbuka kwa kutuletea umaskini !
Wafuasi wa Bakwata wala hupati tabu kuwagunduwa na hapo amevaa kipedo na chini ana kandambili, huyu ni mfupi kama akili zake.
 


Mnamo tarehe 15 oktoba 2011 Katika mazishi ya mkurugenzi mtendaji wa zamani wa uhuru fm marehemu Juma Penza pale ktk makaburi ya kisutu bwana Nape akakumbuka kuwa kuna kaburi hili la mlezi wake Musa Nnauye maeneo yale.

Mbona kaburi halina msalaba au ni makaburi ya kiislamu?
 
Duu! Hii thread imejaa viroja+urojo=MASHUZI KWENDA MBELE.

haya utoto wa mboe kwa nyerere au?mbona iko wazi sana kamanda,muangalie mboe sawasawa halafu muangalie na makongoro nyerere utapata picha halisi
 
Nnauye ...alikuwa na watoto karibu 20..,nalifahamu hili kwa kuwa msiba wake nilishiriki vilivyo kwenye maandalizi..Yake pale nyumbani kwa mzee makamba ....
Mwanaisha hakuwa mwanamke pekee wa mzee Nnaauye....ambaye alikuwa charismatic na ladies choice.....sijui ni waziri gani wa enzi za mwalimu ,mwanamke...wasichana makada wa enzi hizo ambao walikuwa "hawamhui" brig gen.Nnauye ....alikuwa simply wa wote.....hata wenzake enzi za walimu walikuwa wakimtania waziri wa wanawake.....and would make Nyerere lough....that something they have in common with KIkwete ....ila tofauti ni kuwa KIkwete amejitahidi kuishika familia Yake pamoja .....na ameweza kuwaorodhesha wengi wa watoto wake chini ya mama mmoja .....amedeclare Ana mke mmoja na watoto zaidi ya nane ....that was good.....
Na Ana uwezo wa kuendelea kuwaandikisha chini ya mama mmoja .....hii itasaidia familia Yake miaka ijayo kuondokana na aibu ya watoto wa mke wake kutaka kujiona bora ....kuliko watoto wingine....

May be we can share na members wanawake ...kwanini hawapendi watoto wa wenzao?.....kwetu sisi wanaume watoto wote ni halal.....hakuna haramu...kwani hujui atakaye kusitiri ni yupi...

Hilo nalo neno...maisha ni safari ndefu sana wajameni na yenye mambo mengi.
 
Lala kwa amani mzee, amini una kijana wako nakuwakilisha vyema, kijana wako ni mwiba wa mafisadi, kijana wako haogopi kusema na kulisimamia jambo hata kama lita wakwaza ma bwana wakubwa na mfumo mzima wa utawala, kijana wako anayesimamia itikadi sawia na sio itikadi tumbo.

Pumzika mzee wetu kijana wako anafanya kazi nzuri
 


Mnamo tarehe 15 oktoba 2011 Katika mazishi ya mkurugenzi mtendaji wa zamani wa uhuru fm marehemu Juma Penza pale ktk makaburi ya kisutu bwana Nape akakumbuka kuwa kuna kaburi hili la mlezi wake Musa Nnauye maeneo yale.

Hivi Uislamu unaruhusu kupanda mauwa kaburini? Mbona limechakaa sana hili kaburi? Hawalitunzi eeh
 
mmmh nape najaribu kuvaa viatu vyako kwenye thread hii, I can imagine unajisikiaje as human being! Anyway bana hata familia
ikikukataa, dunia ikakukutaa, baba akikukana....elewa dunia ina tabia ya kukataaaa na kukana watu....Lakini lipo tumaini kwa wanaomwamini YESU KRISTO.....tunaye rafiki mwema sana YESU KRISTO......yeye ni BABA wa wote wanaomkimbilia....alikutambua tangu upo tumboni mwa mama yako, akatoa kibali ukazaliwa na hata sasa ameendelea kukupa pumzi na uhai bila kujai baba yako ni nani? yupo hai au amekufa.........yupo rafiki yetu NAPE anatupenda sana 'YESU KRISTO' farijika na maneno haya mix with yours
 
KWELI NI MFANO TOSHA KWA HAO "WANAODHANI",Lakini mi si katika hao,mzee mnauye alizikwa kwa taratibu za kiislam pale kisutu chini ya usimamizi wa ndugu yaka yusuf makamba,bado sio kigezo???wabongo tunapenda sana ligi za ubishi wa kitoto!

ROMANTIC ... Hoja yangu hapa si swala alizikwa kwa taratibu gani bali ni kuwaelimisha waDANGANYIKA wengi kuwa swala la mtu akiitwa Moses ni Mkristu na Mussa ni Muislam sio Kweli. Haya ni majina tu... Ohhh kumbe Makamba alikuwa ndugu yake....kwa swala misimamo ya Kidini mzee makamba huwa nampenda sana...namkumbuka mtoto wake mmoja wa kike alikuwa msomaji wa neno la mungu kanisani na nikimuuliza wewe si muislam inakuwaje kusoma neno kasisani... mambo ya Udini kwao hamna.
 
Back
Top Bottom