Mimi pia sijaliona,mambo ya illegitime child.
ni miaka kumi sasa tangu ututoke mzee nnauye. Mapenzi yako yaliyotukuka kwa nchi yako yataendelea kukumbukwa milele. Ulikuwa amana ya mungu kwa familia yako na taifa zima kiujumla, leo mungu ameichukua amana hiyo toka kwetu, hatuna cha kulaumu bali kushukuru kwani kazi ya mungu haina makosa na kila nafsi itayaonja mauti, tulikupenda sana comrade lakini mapenzi yetu kwako hayakufua dafu mbele ya mapenzi ya mungu kwako.
Mke wako mwanaisha, watoto wako nape, mariam, joseph, winnie, mwate, samora, mussa na bimdo wanakukumbuka na kukuombea sana kwa mungu. Wakwe zako january, peter,paul na grace wanakukumbuka pia. Wajukuu zako selemani, adam, otilia, sanya, kareen, frank jr wanakukumbuka pia.
Marafiki zako na watanzania kwa ujumla pia wanakukumbuka sana mzee nnauye.
Innalilaaahi wa innailaihi raajiuum!
![]()
Alikua ni muislam mdau,jina lake ni halisi ni Mussa Nnauye,Moses alijipa ili apate nafasi ya kusoma shule za mission enzi hizo walikua wanatakiwa kusoma kwenye shule hizo wakristo tu,wengi walibadili majina hata marehemu kighoma malima anaingia kwenye kundi hili!
mshua mlezi sio kivile sana kwa vijana watukutu.misiba ya wengine ndo anamkumbuka mshua duh
Sasa majina haya kwa watoto (Joseph, Winnie) kayatoa wapi au nao walisoma shule za kikristo ikabidi wabadili majina? Pia wakwe zake nao wana majina ya kikristo (Peter,Paul na Grace) Bado kuna utata nafikiri umekurupuka.. Maana hata jina la Mussa na Moses lipo kwa wakristoAlikua ni muislam mdau,jina lake ni halisi ni Mussa Nnauye,Moses alijipa ili apate nafasi ya kusoma shule za mission enzi hizo walikua wanatakiwa kusoma kwenye shule hizo wakristo tu,wengi walibadili majina hata marehemu kighoma malima anaingia kwenye kundi hili!
Ni miaka kumi sasa tangu ututoke mzee nnauye. Mapenzi yako yaliyotukuka kwa nchi yako yataendelea kukumbukwa milele. Ulikuwa amana ya Mungu kwa familia yako na taifa zima kiujumla, leo Mungu ameichukua amana hiyo toka kwetu, hatuna cha kulaumu bali kushukuru kwani kazi ya mungu haina makosa na kila nafsi itayaonja mauti, tulikupenda sana comrade lakini mapenzi yetu kwako hayakufua dafu mbele ya mapenzi ya mungu kwako.
Mke wako Mwanaisha, watoto wako Nape, Mariam, Joseph, Winnie, Mwate, Samora, Mussa na Bimdo wanakukumbuka na kukuombea sana kwa mungu. Wakwe zako January, Peter,Paul na Grace wanakukumbuka pia. Wajukuu zako Selemani, Adam, Otilia, Sanya, Kareen, Frank Jr wanakukumbuka pia.
Marafiki zako na watanzania kwa ujumla pia wanakukumbuka sana mzee Nnauye.
INNALILAAAHI WA INNAILAIHI RAAJIUUM!
![]()
Jamani nape yuko wapi kwenye listi ya watoto? haiwezekani kwamba kasahaulika ktk orodha ambayo hata wakwe na wajukuu wamewekwa? au alikuwa mtoto wa............................................
Answer:
Mbona kama umeongea kinyume mkuu,hao wanaoitwa mafisadi si maadui zake huyu au mafisadi gani pengine unaowazungumzia???labda na wewe un a tafsiri yako kuhusu ufisadi na mafisadi!
Dingi yako nae wa kupotezea??
mzee nnauye alikua na nyumba mbili,tangazo limetolewa na nyumba kubwa!
nyumba kubwa bado ina hasira?hata kama yeye ndo katoa tangazo alitakiwa awaorodheshe watoto wote wa marehemu,waislam si rukhusa wake wanne?
Kwa kumbukumbu zangu, wakati ule wa Ugomvi wake na akina Lowassa kuhusu Jengo la Umoja wa Vijana, Mke wa Marehemu Moses Nnauye alimkana kwamba si mtoto wa Marehemu na alianza kumwona baada ya Msiba wa Mzee Nnauye.