tena ndio mtoto pekee aliyerithi mikoba ya mzee kwa kuwa mzee aliwahi pia kuwa kwenye cheo alichonacho nape sasa!acheni wivu wa kike!
huu sio udhalilishaji kweli kwa dada zetu?......bt nimependa post zako mkuu zinaeleza kiufasaha anayetaka kubisha ni kwa sbb tu kaamua kukubishia, inaonekana uko karibu na familia ya mzee Nnauye, ila ushauri wangu kama unaedzaufikisha kwa nyumba kubwa waambie tu kwa kutomtaja Nape kwenye hii taarifa hawajamtendea haki Napemwenyewe na marehemu pia sbb hata kama Nape ni mtoto wa nyuma ndogo haiondoi ukweli kuwa yeye si wa damu ya marehemu