Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Na wewe utakuwa kwenye ile ile dini ya wana KAFUUlichoulizwa kingine unajibu kingine,upumbavu huo.Linapokuja suala la imani tuwe serious mbweha wee
Na wewe utakuwa kwenye ile ile dini ya wana KAFUUlichoulizwa kingine unajibu kingine,upumbavu huo.Linapokuja suala la imani tuwe serious mbweha wee
NasDaz you have said well and very right. Nape should not be discredited politically and as a person for what is not out of his own making. This thread has comments which are not civil.Nimesoma mwanzo mpaka mwisho; hoja iliyotawala ni dini ya Mzee Nnauye na kama Nape ni mtoto wa Mzee Nnauye au hapana!!!!! Nini umuhimu wa yote hayo?! Kama Mzee Nnauye ni Mwislamu, Mkristo au Mpagani, nini umuhimu wa lolote katika hayo?! Likewise, kama Nape ni mtoto wa Mzee Nnauye au hapana, shida ipo wapi?! Kuna mdau mmoja, kasema kwamba kutokuwepo jina la Nape kwenye orodha iliyotolewa itawasaidia watu kumchafua kisiasa...ni mwana siasa gani mwenye kutumia hoja dhaifu kiasi hicho?! na kama atakuwepo hapo atathibitisha wazi kwamba hoja za msingi hanazo bali anajiegemeza kwenye hoja chakavu!! Kwani hata kama Nape ni mtoto wa nje ya ndoa, tatizo kwake yeye ni nini?! Wa kulaumiwa si wazazi wake?! Kwani alijizaa mwenyewe?! Mtu yeyote atakayemkashifu Nape kwa kuzaliwa nje ya ndoa (kama ndivyo) anatakiwa kujiuliza yeye mwenyewe alifanya jitihada gani ata akazaliwa ndani ya ndoa!!! Ajiulize, kuna chochote alifanya hata akazaliwa ndai ya ndoa au automatically tu alijikuta amezaliwa ndani ya ndoa?! Kumkashifu mtu aliyezaliwa nje ya ndoa, kinyume chake ni kwamba unajiona fahari kuzaliwa ndani ya ndoa! Ni upuuzi uliopita kipimo kujifaharisha kwa ki2 ambacho huku-contribute hata punje moja ya mchanga!
Sikujua, hakika sikujua.....KUMBE NINAWAPA TABU SANA MAFISADI...,!!!! Aam so happy
Sikujua, hakika sikujua.....KUMBE NINAWAPA TABU SANA MAFISADI...,!!!! Aam so happy
Sikujua, hakika sikujua.....KUMBE NINAWAPA TABU SANA MAFISADI...,!!!! Aam so happy
Mkuu sidhani kama utapungukiwa kitu ukiufahamisha umma wa JF kwamba wewe ni mtoto wa Mzee Nnauye kwa mama mwingine, na hili sio la ajabu maana hata Rais JK amezaa na wanawake kibao, hii sio kashfa.Sikujua, hakika sikujua.....KUMBE NINAWAPA TABU SANA MAFISADI...,!!!! Aam so happy
:lol:
Mbona huna hata sura ya Mzee Nnauye. Hii ni kazi ya nje tu...................................
ROMANTIC ... Hoja yangu hapa si swala alizikwa kwa taratibu gani bali ni kuwaelimisha waDANGANYIKA wengi kuwa swala la mtu akiitwa Moses ni Mkristu na Mussa ni Muislam sio Kweli. Haya ni majina tu... Ohhh kumbe Makamba alikuwa ndugu yake....kwa swala misimamo ya Kidini mzee makamba huwa nampenda sana...namkumbuka mtoto wake mmoja wa kike alikuwa msomaji wa neno la mungu kanisani na nikimuuliza wewe si muislam inakuwaje kusoma neno kasisani... mambo ya Udini kwao hamna.
Nape si ameoa juzi juzi tu? fuatilia ndoa yake alifunga kanisani au msikitini? nadhani utakuwa angalau umejuwa anaabudu dini gani.ila NAPE huwa simsomi sawasawa kuhusu dini yake....wala sioni tabu kwa kuwa muhimu utendaji wake hayo ya dini is up to yeye!
:lol:
Mbona huna hata sura ya Mzee Nnauye. Hii ni kazi ya nje tu...................................
Na wewe acha ujinga bana, tangazo ni hilo lenye picha Marehemu Mzee Nnauye, achana na hayo maandishi ya kwenye hii thread ya JF. VIPI JOMBA HUONI?Mke wako Mwanaisha, watoto wako Nape, Mariam, Joseph, Winnie, Mwate, Samora, Mussa na Bimdo wanakukumbuka na kukuombea sana kwa mungu. Wakwe zako January, Peter,Paul na Grace wanakukumbuka pia. Wajukuu zako Selemani, Adam, Otilia, Sanya, Kareen, Frank Jr wanakukumbuka pia.
Marafiki zako na watanzania kwa ujumla pia wanakukumbuka sana mzee Nnauye.
INNALILAAAHI WA INNAILAIHI RAAJIUUM!
![]()
Mke wako Mwanaisha, watoto wako Nape, Mariam, Joseph, Winnie, Mwate, Samora, Mussa na Bimdo wanakukumbuka na kukuombea sana kwa mungu. Wakwe zako January, Peter,Paul na Grace wanakukumbuka pia. Wajukuu zako Selemani, Adam, Otilia, Sanya, Kareen, Frank Jr wanakukumbuka pia.
Marafiki zako na watanzania kwa ujumla pia wanakukumbuka sana mzee Nnauye.
INNALILAAAHI WA INNAILAIHI RAAJIUUM!
![]()
Sikujua, hakika sikujua.....KUMBE NINAWAPA TABU SANA MAFISADI...,!!!! Aam so happy
Nimecheka sana....Mzee ameacha kumbukumbu mbaya sana kwetu. Sio kwa yale aliyoyafanya kwa nchi yake bali kiumbe alichoacha kwenye familia yake. Ametuachia mtoto mwenye kiburi, kiziwi, mipasho, vuvuzela ambaye amekuwa mzigo kwa taifa ambalo baba huyu alikuwa kioo! Kama tatizo sio malezi yake basi ni hujuma na ushawishi wa mafisadi ndio vilimzidi nguuu mwanae.
Tutaendelea kumwombea mzee wetu huyu wakati tukiendelea kupambana na mafisadi waliomwaribu mwanae ili angalau afuate yale mema na mazuri aliyoyafanya baba'ake kwa nchi yetu.
R. I. P mzee Nnauye!
wewe! unagusa kwenye ugoko! patamu hapo....Mbona hata freeman mboe ana sura ya nyerere,kitanda hakizai haramu kamanda,hata jarume jr ana sura ya mohamed babu lakini yeye ni karume tu mwanzo mwisho!