wakati anakaribia kufariki alibadili dini akahamia kwenye dini ya wana KAFU
Ulichoulizwa kingine unajibu kingine,upumbavu huo.Linapokuja suala la imani tuwe serious mbweha wee
wakati anakaribia kufariki alibadili dini akahamia kwenye dini ya wana KAFU
Lilisahaulika wakati taarifa inachapwa. Na miongoni mwa wakwe nimeona January, ni Makamba? Nape anashambuliwa sana hapa kuwa ni balaa tuliloachiwa na baba yake. Lakini ukweli ni kwamba huyu ni miongoni mwa watanzania wachache sana wenye ujasiri wa kusimama mbele ya mafisadi ndani ya chama chake cha mafisadi. Shutuma zote tunazomrushia zingeelekezwa kwa mwenyekiti wa chama chake.
Answer:
Mbona kama umeongea kinyume mkuu,hao wanaoitwa mafisadi si maadui zake huyu au mafisadi gani pengine unaowazungumzia???labda na wewe un a tafsiri yako kuhusu ufisadi na mafisadi!
Pia haiko wazi ni mtoto yupi, Nnauye ameach LUNDO la watoto!
Mussa inatumika pande zote na ni aghalabu kumkuta mkristo akiitwa mussa lakini ni kioja kumkuta muislam akiitwa moses!muislam ni mussa tu!MOSSES kwa kiswahili ni MUSSA, ninaye rafiki ambaye mwanaye amebatizwa kwa jina la Mussa (ni mkatoliki)
BAADA YA UCHUNGUZI WA KINA WA TANGAZO HILI NIMEGUNDUA YAFUATAYO
-HABARI HII IMEWEKWA HAPA NA VUVUZELA,MTU WA MIPASHO NAPE NNAUYE
-NAPE SIO MTOTO WA MOSES KWA SABABU UKICHUNGUZA TANGAZO LA NDANI LENYE PICHA YA COMRADE MZEE MOSES WATOTO WALIOTAJWA PALE NAPE HAYUPO
-KUNA MJUKUU ANAYEITWA NNALEKANA AMBAYE YUPO KWENYE TANGAZO ILA KWENYE THREAD YA NAPE HAYUPO
-JANUARY MAROPE AMEOA MTOTO WA NNAUYE????
-THE ROMANTIC NI USER ID AMBAYO KILA SIKU INAINGIA NA KUPOST HUMU UTUMBO
-ROMANTIC NI USER ISIYO RAFIKI NA CCM HATA KIDOGO my take NAPE HAKUBALIANI NA JK NA HIVYO ANAITUMIA ROMANTIC KUMPONDA NA KUELEZA LILILO MOYONI MWAKE SIO MDOMONI
-NAPE NI MNAFKI KWANI KWA ID HII YA ROMANTIC AMEONYESHA KUWA MKWELI ILA AKIWA MBELE ZA WATANZANIA ANAONGEA KAMA WALE JAMAA WANAOTOA ULE MTANDAO WA NUSU SHILINGI
badilika braza siku zimeisha
Nape baba yake Prof Mwandosya, sio Nnauye. Kama mnabisha fanyeni DNA.
Mussa anaweza kuwa mkristo vilevile; unless una uhakika na unachokisema, otherwise, kwa hilo jina bado hakuna concrete evidence kwamba huyo brigedia alikua muislam!!
Sasa kuitwa Mussa ndio kusema kina mussa wote ni waislam... WadaNGANYIKA tabu sana. Kwa kifupi ukiwa kanisani ibada ya kiswahili atasemwa Mussa na ibada ya Kiingereza atasemwa Moses.... Nadhani umeelewa vizuri.
Na ile INNALILLAAHI WAINNA ILLAIHI RAJUUN ambayo imeandikwa kwenye tangazo la wanafamilia wa nyumba kubwa nayo haikushawishi pia?
Ngoja nibadilishe mfano maana waDAGANYIKA huwa wagumu kuelewa. Kwa kifupi swala la Mussa au Moses ni lugha tu. E.g. Kiongozi wa dini ya kiislam akiwa anaongea English katika msikiti hapa London atasema Moses na akiwa Mwembechai kwa waswahili anasema Mussa. Hapa nadhani umenipata Daudi (Ah ah ah DAVID hapa london)
Nakumbuka nilisoma chuo kikuu kimoja na mtu kutoka Egypt ambaye ni mkristu na kwa kuwa kulikuwa kuna utaratibu wa kwenda kanisani asubuhi siku moja ilikuwa tabu sana alipoandika "Yesu ni Jibu"kwa lugha ya kiaarabu maana watu wengi wanadhani kiaarabu ni uislam.... Basi nilipomaliza chuo akanizawadia tshirt moja inayosema "Yesu ni Jibu" na nilipotua bongo nikawa naitinga basi mazuzu wakawa wanasema duu huyu jamaa siku hizi ni muislam. HUU NI MFANO TOSHA KWA WANAODHANI UKIITWA MUSA WEWE NI MUISLAM NA UKIITWA MOSES WEWE NI MKRISTU.
Tunashukuru sana kwa mchango wako katika mjadala huu japo umedai nafasi ni ndogo lakini tumegundua unayo!asante sana kwa kutumia muda wako wa thamani kujadili.matangazo kama haya wayapeleke bango mda ni mdogo sana kudiscuss marehemu hapa.
moses ni jina la kiislamu, malima ni jina la kiislamu. wapi walibadili majina? . na huyu mtoto wa nauye anayeitwa joseph , na huyu mariamu nao walipewa hayo majina ili wasome kwa mission? mawazo hafifu haya. wote hawa wanao soma hizo shule za mission mpaka leo hii wanabadili majina?. ni yatima wangapi walilelewa kwenye nyumba za malezi za makanisa wakifahamika kabisa ni yatima wa kiislamu?.
kinachonitatiza siku zote ni kuwa haya yanasemwa na watu juu ya watu. lakini hakuna aliye muhanga wa haya yanayosemwa akasimama hadharani na kusema kuwa either asingekuwa alipo kama asingeficha identity yake au asingekuwa alipo kama angeficha identity yake.
leo ukienda pale kwa nyumba ya yatima msimbazi utaona watoto na majina yao ambayo yanasema imani zao, lakini bado sisi ambao tunatakiwa kuusema ukweli tunapindisha kwa sababu ya either fikra duni au kwa nia ya kupotosha tu ukweli
Kwenye orodha ya warithi wa marehemu alikumbukwa lakini?.Ukitaka kuwa maarufu pambana na mtu maarufu, oa au olewa na mtu maarufu, chezea timu maarufu, tafuta cheo maarufu, soma kozi maarufu, jenga urafiki na watu maarufu n.k. Umaarufu wa Nape uko mikononi mwa EL. Wakimvua gamba au kushindwa kumvua gamba hatutamsikia Nape tena.
Na huenda kuanzia sasa asiongelee tena kujivua gamba kwani muda tuliosubiri EL aseme aliyotakiwa kuyasema Monduli kwa waandishi wa habari kayasema NEC Dodoma.
Ujasiri wa Nape anaweza kuuonesha sasa kwa kumtuhumu pacha wa nnne na kufuta kauli ya Mapacha watatu na kupata msemo mpya wa Mapacha manne. Alichotakiwa kufanya Nape baada ya EL kutoa ya moyoni alitakiwa kujitoa CCM siku ile na kumshambulia pacha wa nne. Hakika angekuwa maaarufu ya hapa alipofikia.
Tunachosubiri sasa ni graph yake kuanza kushuka. Namtabiria akiita waandishi atakuwa anawakosa na hata wakienda atakuwa hapati ukurasa kwenye gazeti na hata akipata siku hiyo mauzo hakuna.
CCM YA SASA NDO BABA WA HUO UFISADI.Wanachogombana kwa sasa ni nani ale zaidi.Answer:
Mbona kama umeongea kinyume mkuu,hao wanaoitwa mafisadi si maadui zake huyu au mafisadi gani pengine unaowazungumzia???labda na wewe un a tafsiri yako kuhusu ufisadi na mafisadi!
Picha inaonyesha kuwa anamwagilia kaburi la baba yake, full stop! haisemi kama andio amekumbuka wala nini? we are not sure kama kila mwaka alikuwa anakwenda kumwagilia hilo kaburi. Again, there is no eveidence kwamba ilikuwa ni siku ya mazishi, kama ni kweli, alipata wapi maji na can huko makaburini? Na kingine, kama ni wakati wa mazishi, mbona hakuna watu wengine pembeni?
Kwa kifupi hii picha inaonyesha Nape akimwagilia kaburi (linaloaminika kuwa ni la baba yake, liko mbali na maneno hayasomeki) and nothing else!
sielewi ujasiri wa Nape unatoka wapi! Nape alianza kusikika wakati akijiandaa kugombea uenyekiti wa UVCCM alipopigia kelele ushiriki mbovu wa EL kwenye ujenzi wa ghorofa la umoja wa vijana.
Kila mwenye akili timamu alijua Nepi anatumika kunufaisha kundi fulani hasimu kwa EL ktk mradi huo wa jengo la vijana. Baadae akadakia singo ya Slaa ya mafisadi ndan ya Mume wa KAFU.
Jk alipokurupuka na dhana ya kusadikika ya kujivua gamba na yeye Nepi akakurupuka kuzunguka nayo lakini kwa kuhakikisha anamkata makali EL. Sasa ujasiri wake ni upi wakati anafanya shughuli zake kwa misingi ya chuki na kukomoana akinufaisha makundi flan ya wanaotaka urais?
Anamwongelea mwenye Richmond yaani yule aliyetajwa wiki iliyopita na waziri mkuu mstaafu
Tuwe wakweli. kijana ni jasiri na anafaa kuwa kiongozi. hana dhambi ndiyo maana anasimama kweupee kusema anachoamini. big up nape.