Inaonyesha dhahiri ulivyo na upungufu wa akiliWatu wa kukumbukwa kwenye hii nchi ni wawili tu, Nyerere na Sokoine University of Agriculture. Hao wengine ni wa kuwapotezea tu.
Inaonyesha dhahiri ulivyo na upungufu wa akiliWatu wa kukumbukwa kwenye hii nchi ni wawili tu, Nyerere na Sokoine University of Agriculture. Hao wengine ni wa kuwapotezea tu.
Mkuu taratibuMbona sura imefanana na Membe?
Ili tujue tuu mkuu c unajua huyu kiongozi kijana ambaye watu wengi anawainspire so kumjua ni jambo jema tuu, au umemaindInatusaidia nini kufuatilia maisha binafsi?
Tungekuja na mada ya kujadili kwanini dawa ya ukoko inapulizwa kimaeneo? kwanini tuna kiwanda cha kuua viluilui vinavyozalisha mbu waenezao malaria na bado malaria ni tatizo? ule mradi wa malaria Dar Es Salaam kwanini ulikufa? nk nk
Lkn hapo chini c umeona inna illah wainna lillah rajiunLabda alibadili jina.
Kuhusu dini, kuna familia uamua kufata dini tofauti.
Teh teh mkuu unantishaNgoja waje...
Aisee hivyoo enheeCcm wana mambo mengi sana ya hovyo, ukiwafuatilia sana huwezi kuishi nao, ni kama bata ukimfuatilia sana huwezi kumla
Haswaajekuna tija hapa?
Asante kwa kunijuzaNape ni Mtoto wa Moses
Ndo anamiliki zile LANDMARK HOTELS?Nape ni Mtoto wa Moses
ipi? maana kujua family tree ya mtu inatusaidia nini sisi na hatuhitaji kutambika? hehe. au kauchokoziHaswaa
We dini yako ipi?tuanzie kwako ndo tuje kwa nape.
Kidogo napata shida ktk suala la familia ya Mh. Nape 'Mosses' Nnauye.
Kwanza kabisa hili jina la Mosses huwa halitumiwi na waislamu, waislamu hutumia Mussa, lkn pia hapa ktk kumbukumbu ya mzee Nnauye jina la Nape halipo.
Pia kulikuwa na tetesi kuhusu originality ya Nape cyo mzee Nauye sasa cjui km kuna ukweli au laa.