Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 20,054
- 16,186
tena sh 20 yenyewe ya noti!!!ila ilikuwa mbinde kuipata!!!Duh! wakati huo ada ya mwaka mzima ni sh 20/= ...
tena sh 20 yenyewe ya noti!!!ila ilikuwa mbinde kuipata!!!Duh! wakati huo ada ya mwaka mzima ni sh 20/= ...
A young boy known as Mashaka
Duh! wakati huo ada ya mwaka mzima ni sh 20/= tu na tulisoma vizuri sana na tukafaulu.Umenikumbusha mbali sana maisha yangekuwa yanakurewind naona mimi ningekuwa wa kwanza kuyarudisha nyuma, sme ndiyo wapi, yakipita yamepita.
Yup...kitabu lazima ukijaladie na gazeti la Chama...wale wanaojiweza wanajaladia kwa kipande cha Kalenda
Yup...kitabu lazima ukijaladie na gazeti la Chama...wale wanaojiweza wanajaladia kwa kipande cha Kalenda
Nakumbuka enzi hizo darasa la tatu Sisimba
Bado kichwani nakumbuka mambo ya:
1. I am sitting down.
2. I am standing up.
3. The cat is under the table.
4. My name is Musa.