Kumbukumbu: Mr and Mrs Daudi's Family...

Kumbukumbu: Mr and Mrs Daudi's Family...

Watu8

Platinum Member
Joined
Feb 19, 2010
Posts
76,962
Reaction score
110,476
484074_402605206464930_1936837981_n.jpg


Pichani ni Mr&Mrs Daudi, Musa, Neema na Baraka...kwa wenye kumbukumbu nzuri mnaweza kukumbuka hiki kitabu back in our old golden days...lol!!!
 
Duh! Bonge la lumbukumbu, ndio maana Mbatia analalama analalama analalama :frusty:na mfumo wa sasa wa elimu hauna hata vitabu makini kama hiki
 
Duh! wakati huo ada ya mwaka mzima ni sh 20/= tu na tulisoma vizuri sana na tukafaulu.Umenikumbusha mbali sana maisha yangekuwa yanakurewind naona mimi ningekuwa wa kwanza kuyarudisha nyuma, sme ndiyo wapi, yakipita yamepita.
 
Back
Top Bottom