ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Leo tarehe 4 April ni mwezi umepita ambapo Simba alikimbia mechi,tarehe 8 March
Sababu za kukimbia mechi ni uoga uliowajaa Simba kutokana na wachezaji wao wenye unafuu kuwa na majeraha kama Che maloni, Camara na Ngoma
Simba walishirikiana na Bodi ya ligi pamoja na TFF kuhujumu derby bila sababu za msingi
Hadi Leo mwezi umepita bodi ya ligi wapo kwapani Kwa Simba wamejificha Bado hawajatangaza tarehe mpya ya kucheza derby kama walivo jinasibu
Kwanini hadi Leo mwezi umepita lakini bodi ya ligi haijatangaza tarehe mpya ya derby wanaogopa Nini?
Bodi ya ligi na Simba walishirikiana kuhujumu
Hii ni aibu Yao
Anniversary ya mwezi Sasa tuendelee kusubiri
HATUCHEZI
YANGA BINGWA
Sababu za kukimbia mechi ni uoga uliowajaa Simba kutokana na wachezaji wao wenye unafuu kuwa na majeraha kama Che maloni, Camara na Ngoma
Simba walishirikiana na Bodi ya ligi pamoja na TFF kuhujumu derby bila sababu za msingi
Hadi Leo mwezi umepita bodi ya ligi wapo kwapani Kwa Simba wamejificha Bado hawajatangaza tarehe mpya ya kucheza derby kama walivo jinasibu
Kwanini hadi Leo mwezi umepita lakini bodi ya ligi haijatangaza tarehe mpya ya derby wanaogopa Nini?
Bodi ya ligi na Simba walishirikiana kuhujumu
Hii ni aibu Yao
Anniversary ya mwezi Sasa tuendelee kusubiri
HATUCHEZI
YANGA BINGWA