KITAULO
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,926
- 2,778
Hatukumchagua ili akae nyumbani., wengine wote hawalipwi mshahara kwa kukaa nyumbani.
sijakuona siku nyingi nikadhani umemfungia safari ya kwenda kumrudisha.
Hatukumchagua ili akae nyumbani., wengine wote hawalipwi mshahara kwa kukaa nyumbani.
Kwan yeye ni kiongozi wa nn
Maphorisa ndio nani MkuuDunia nzima Trump yupo ikulu, Borris yupo ofisini, Edga lungu yupo ikulu, Kenyata yupo ikulu, museven, maphorisa, wote wnapiga kazi ikulu ila ukitaka kujua mtu muoga njoo tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaacha kujadili issues za maana tunajadili Rais hayupo ikulu?Dunia nzima Trump yupo ikulu, Borris yupo ofisini, Edga lungu yupo ikulu, Kenyata yupo ikulu, museven, maphorisa, wote wnapiga kazi ikulu ila ukitaka kujua mtu muoga njoo tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu watasema amesusa, ndo mana hata best friend wake amemuachia sms, alivyoona simu haipokelewinasikia hapokei simu za wenzake
Watakuwa wanaishi kwenye mahema njeKiusalama hii imekaaje kwa Amri Jeshi Mkuu wetu, maana IKULU inakuwa imejengwa kwa kuzingatia haya mambo ya ulinzi na usalama. Kule chato si ni nyumba tu ya kawaida ya binafsi.!!
Kama mnavyojua Rais ni taasisi sasa hao wasaidizi wake, walinzi nk inakuwaje wanavyoishi pale home.
Eti huyu Pimbi ndiyo hujiita mzalendoDunia nzima Trump yupo ikulu, Borris yupo ofisini, Edga lungu yupo ikulu, Kenyata yupo ikulu, museven, maphorisa, wote wnapiga kazi ikulu ila ukitaka kujua mtu muoga njoo tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Mh.Mbowe naye ni Rais kwahiyo inabidi aende Ikulu!?Bavicha mna kazi kweli kweli!
Jana nilimuona Mbowe akiongoza kikao cha kamati kuu kutokea sebuleni kwake sikushangaa!
Kwani kuna kazi yoyote ya rais haifanyiki kwa kuwa yuko chato na si dodoma au dar es salaam?Dunia nzima Trump yupo ikulu, Borris yupo ofisini, Edga lungu yupo ikulu, Kenyata yupo ikulu, museven, maphorisa, wote wnapiga kazi ikulu ila ukitaka kujua mtu muoga njoo tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe ni Rais kumbe!Bavicha mna kazi kweli kweli!
Jana nilimuona Mbowe akiongoza kikao cha kamati kuu kutokea sebuleni kwake sikushangaa!