Waumini wa mila na destri wanasema CHUNGU cha kulipa kisasi kwa aliyedhulumiwa kikivunjwa/ pasuliwa moto wake hunza kuondoa wote walioshiriki kwa namna yoyote kwenye hiyo dhuluma.
Huwa inaanza na wa chini kabisa, na wa mwisho kuondoka ni mhusika mkuu.
Hii inakuwa hivyo ili mhusika mkuu apate muda wa kuielimisha jamii yake ubaya wa aliyofanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.