Hapa kuna kitu umekiongea na kina ukweli. Haya upendo usio na mipaka kati ya mama na kijana, possibly utakuwa ulikuwepo tangu wakiwa wana-date ila sijui ndo mahaba yalikolea akaignore the red flagsKwanza tutake radhi wanaume,,, kosa la mme wako usi-generalize ndo wanaume wote tuko hvo
Pili pole sana kwa kuolewa na mama's boy
Tatu lawama zinarudi kwako hv mnaelewaga nn maana ya watu kua wenye uchumba. Coz huez sema hz tabia kaanzisha baada ya kukuoa tatzo lenu mnakurupukia ndoa mkihisi mtu atabadilika mbeleni
Ushaur upole ukizid sana ni utumwa ongea nae ukiona hataki kubadilika achana nae coz umesema una kaz na kipato chako jenga maisha yako mwenyewe
Asante kwa kututetea mkuu! Nami nasema, sio WANAUME WOTE TUKO HIVYO!Pole sana bibie...Huyo Mumeo ana tatizo aisee..sio WANAUME WOTE TUKO HIVYO
ni huyo wako tu
tafuta mzee asie na mke umuweke hapo kwa mama mkwe awe busy hivi kidogo
utashangaa
Ndio hivyo mkuuAsante kwa kututetea mkuu! Nami nasema, sio WANAUME WOTE TUKO HIVYO!