Kumbe wanaume ndio wapo hivi!?

Kumbe wanaume ndio wapo hivi!?

jitahidi sasa kitandani c ndo muda upo nae.yaani kata mauno km pangaboi bovu.nyonya dushe sana dushe pitilizia mpk chembani.alaf uone sasa.asipobadilika ujue kalogwa.pia acha masengenyi
 
Huyo jamaa kuna siku moja alikua anatupa mbinu za kuwapata mademu masta inster maana huwa wanatabia ukimutumia msga hawJibu sasa mkuu the boss siku moja akanipa mbinu za kuwapata na kujibu hizo msg nikazitumia zike mbinu zake alizonipa aisee sikuamini kuona staa mmujo akijibu coment zangu

Huyo jamaa ni hatar sana the boss we mkali maujanja yako yamefanya saiv nina namba ya nandy na shilole
Tupeane maujanja ht pm plz ucwe mchoyo maan nae angekuwa mchoyo ucngepata
 
Kuwa karibu zaidi na mama mkwe wako. Kisha fanya mpango wa kumtafutia bwana huyo mama ili awe bize na yake kidogo.
 
ivyo unavyoongea ni sawa kabisaaa yani mume wangu anajiona bado mdogoooooo kashikiwa akili kisawasawa! hana maamuzi hataaa!!!! ( what kills me)
nashukuru nna mawifi zangu wa mbalimbali kidogo walishawahi kumwambia..kaka utampoteza mkeo kwaajili ya mamako! yaaani ni hivyohivyo unavyoongea dea hivyohivyooooooo!
Huyo mumeo ni ana matatizo kams dada zake wamelijua tatizo ye hajashtuka tu sio bure aseee!!!

Nampenda mama anguh ila kwenye mapenzi daah!! Atanisamehe tu.Tusipangiane
 
Piga chini huyo ukibembeleza sana utaja juta kama yeye kakosa msimamo basi wewe kuwa na msimamo kila kitu kinawakati wake ukizidisha kinakuwa na hasara kubwa
 
fuatilia kwa kina bibie...... wanaweza kuwa wamepitiliza.......hii dunia ina mambo....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom