Kumbe wanaume ndio wapo hivi!?

Kumbe wanaume ndio wapo hivi!?

habari za maisha wana jf! naombeni kushare na nyie kuhusu hichi kitu kinachonikabili kwan naamini naweza kuelewa maisha jinsi yalivyo kwa kuwa kila siku tunajifunza.
Mimi nmeolewa miaka 6 iliyopita n am 31 now! mume wangu ndio kila kitu kwangu nampenda sana namhurumia namthamini pia...vile sina wazazi na nmezaliwa peke angu bas mume wangu nmemchukulia km ndo kaka, baba, mama, dada na kila kitu!
yaan jinsi nilivyo yaan simfichagi hata kitu ktk maisha yangu...furaha huzuni kila kitu anajua....napenda sana kupiga nae stori umbea n.k yaan tukianza kusengenya mtu weeeeee! nmezoea kwake kwan sinaga hata rafiki wa karibu sina mazoea na watu saaaanaaa..
Lakiniiii kitu ambacho kinaniumizaa bwana ni life style yy na bi mkubwa wake...mama ana tabu huyo cjapata ona! nmpenda sana lkn hapendeki! yaan sielewi ana tatizo gani....anamwekea mtoto ake biz sana kiasi kwamba ile furaha yangu nahisi inatoweka! na mtoto nae (mume) yy na mamake humuelezi kitu! anatupangia tuishi vile anavyotaka yy...sisi tukiplan kitu chetu yy anaenda anaharibu...hafla unamuona mtu hakupatilizi tena!
ni mda mrefu hili tatizo nmelifanyia uchunguzi nmegundua ni mama ndie anaharibu!
ni stori ndefu sana cpendi kuwachosha lkn sasaiv mume wangu sina stori nae....anaongea na mamake na sim mda wote! hata sokoni wanaenda wote napangiwa budget na ma mkwe tena anambia kabisaa nyanya hizo mwezi mzima!
kwanini imekuwa hivi ikiwa me ni mke nna kazi nna biashara najua kutafuta na mume wangu kipato chake kidogo sana! nikijaribu kumuuliza anakasirika ndo ctoongeleshwa cku tatu mtu kanuna!
mara mama mtu amfate mwanae asbh cjui wanaenda wapi!!? siambiwi wala siulizi! utakuta tumekaa watatu hafla wanaanza kunong'onezana...jamaniiii!!!??
baadhi ya watu wameshaiona hii picha naskiaga ckiaga tu wanasema mhhhh yule kaka anamsikiliza sana mamake naskia hata rafiki zake wanamwambia awe na msimamo na maamuzi yake...lakn wapiiiii!!!! jamani sina furaha...
hivi ndio wanaume wote walivyo au ni huyu wangu tuu?? naombeni ushauri kwani naumia sana hlafu nahisi kupoteza mapenzi na huyu mama...nmevumilia mengi sana kwake!
Nitakuwa namjua mumeo vizuri sana.. Nimejitaidi sana kumsema mumeo kuhusu hiyo tabia ..lakini anasema wanawake hawaminiki ndo maana mambo yake mengi anamshirikisha mamake... Kiufupi hawezi kubadilika naukimlazimisha asiwe karibu na mamake mtaachana.
 
habari za maisha wana jf! naombeni kushare na nyie kuhusu hichi kitu kinachonikabili kwan naamini naweza kuelewa maisha jinsi yalivyo kwa kuwa kila siku tunajifunza.
Mimi nmeolewa miaka 6 iliyopita n am 31 now! mume wangu ndio kila kitu kwangu nampenda sana namhurumia namthamini pia...vile sina wazazi na nmezaliwa peke angu bas mume wangu nmemchukulia km ndo kaka, baba, mama, dada na kila kitu!
yaan jinsi nilivyo yaan simfichagi hata kitu ktk maisha yangu...furaha huzuni kila kitu anajua....napenda sana kupiga nae stori umbea n.k yaan tukianza kusengenya mtu weeeeee! nmezoea kwake kwan sinaga hata rafiki wa karibu sina mazoea na watu saaaanaaa..
Lakiniiii kitu ambacho kinaniumizaa bwana ni life style yy na bi mkubwa wake...mama ana tabu huyo cjapata ona! nmpenda sana lkn hapendeki! yaan sielewi ana tatizo gani....anamwekea mtoto ake biz sana kiasi kwamba ile furaha yangu nahisi inatoweka! na mtoto nae (mume) yy na mamake humuelezi kitu! anatupangia tuishi vile anavyotaka yy...sisi tukiplan kitu chetu yy anaenda anaharibu...hafla unamuona mtu hakupatilizi tena!
ni mda mrefu hili tatizo nmelifanyia uchunguzi nmegundua ni mama ndie anaharibu!
ni stori ndefu sana cpendi kuwachosha lkn sasaiv mume wangu sina stori nae....anaongea na mamake na sim mda wote! hata sokoni wanaenda wote napangiwa budget na ma mkwe tena anambia kabisaa nyanya hizo mwezi mzima!
kwanini imekuwa hivi ikiwa me ni mke nna kazi nna biashara najua kutafuta na mume wangu kipato chake kidogo sana! nikijaribu kumuuliza anakasirika ndo ctoongeleshwa cku tatu mtu kanuna!
mara mama mtu amfate mwanae asbh cjui wanaenda wapi!!? siambiwi wala siulizi! utakuta tumekaa watatu hafla wanaanza kunong'onezana...jamaniiii!!!??
baadhi ya watu wameshaiona hii picha naskiaga ckiaga tu wanasema mhhhh yule kaka anamsikiliza sana mamake naskia hata rafiki zake wanamwambia awe na msimamo na maamuzi yake...lakn wapiiiii!!!! jamani sina furaha...
hivi ndio wanaume wote walivyo au ni huyu wangu tuu?? naombeni ushauri kwani naumia sana hlafu nahisi kupoteza mapenzi na huyu mama...nmevumilia mengi sana kwake!
Sasa mkuu kwan ukijua kwamba wote hawako ivo kam uyo mwenz wako... then wat shud be nxt... Huyo utamuacha uende kwa mwingine ambaye hayupo ivo?

Em tulizana bs ka mwanamke mwny kujielewa n aliye makin kam jnc unavoonekana ulivyo... ,

suluhisho ya tatzo c kuongeza matatzo, rather ni kulikabili tatzo ulilonalo il lisije tokea tena, au ata kama liktokea tena tyar utakua n uzoef ktk namna ya kulitatua, upo mkuu? ...

Mungu katupa uwezo huo thus ukiamua utaweza tu...
 
Kama mnakaa nyumbani kwa wazazi wa mwanaume muhame mara moja
Mshauri mumeo muende mbali ma mkwe
 
Kwa kweli Mungu atuepushe tu. Mie nimetoka home kwetu naambatana na mume wangu sio mama yake
Kweli kabisa kama kuja bora aje kusalimia na kuondoka na sio hayo mambo ya kusindikizana mpaka sokoni lol.

Ila ndio hao wakipata wakwe washari wanachambwa mpaka basi.
 
Kweli kabisa kama kuja bora aje kusalimia na kuondoka na sio hayo mambo ya kusindikizana mpaka sokoni lol.

Ila ndio hao wakipata wakwe washari wanachambwa mpaka basi.
Utaambiwa mke hupendi ndugu wa mume, sasa kwa style ya huo ujinga nani atawapenda?
 
Utaambiwa mke hupendi ndugu wa mume, sasa kwa style ya huo ujinga nani atawapenda?
Wa hivyo hata kama ni mimi siwezi nikampenda aisee. Mana kama huyo mtoa uzi hata raha na mume wake hana.

Saa nyingine aunt unaweza peleka mawazo mbali zaidi ukajua kuna kitu zaidi ya umama mana kama hadi ikitokea wamekaa watatu hawaoni shida kunong'onezana si hatari hiyo.
 
Hajiamini;-Pengine anaelewa kabs anachofanya hakiko poa ila Hajui ajitoe Vipi ktk hiyo Hali+
HampenDi Mama yake kwa DHATI ila Anamwogopa, Siku akifunguka ATAMPONDA SANA MAMA YAKE MBELE YAKO
My mother went through this a while ago when i was still a Baby n later on a CHILD, ila ilikua ni kwa upanDe wa Mashemeji (Wa kiume)..Nlichojifunza ni kwamba Ukioa kaa Pembeni kiDogo na wazazi/nDugu ili kuepusha tafrani zisizo za Lazima
Kikubwa ni ku"Adopt" namna ya kwenDa nao sawa, Ujue namna ya kula na kipofu or tafuta mtu Mzm kidogo mwenye Busara anaweza kukupa maneno yenye shibe zaiDi maana Ukiona nyani Mzee Basi kakwepa ........
 
TE="nanyupu, post: 21602536, member: 379829"]Sisi wasukuma hatuko hivyo jaman lakin pole[/QUOTE]

Mko kama mtemi chengw
 
Pole sana...
Hiyo ndiyo tafsiri hali ya mtoto wa mama...

Hivi bado kuna wanaume ni watoto wa mama...


Cc: mahondaw
 
Wa hivyo hata kama ni mimi siwezi nikampenda aisee. Mana kama huyo mtoa uzi hata raha na mume wake hana.

Saa nyingine aunt unaweza peleka mawazo mbali zaidi ukajua kuna kitu zaidi ya umama mana kama hadi ikitokea wamekaa watatu hawaoni shida kunong'onezana si hatari hiyo.
Eeh watu watawawazia vibaya tu kwa kweli, kijana wako ana mke wake ila unataka wewe ndo uwe naye muda wote kuliko mkewe, umerogwa?
 
habari za maisha wana jf! naombeni kushare na nyie kuhusu hichi kitu kinachonikabili kwan naamini naweza kuelewa maisha jinsi yalivyo kwa kuwa kila siku tunajifunza.
Mimi nmeolewa miaka 6 iliyopita n am 31 now! mume wangu ndio kila kitu kwangu nampenda sana namhurumia namthamini pia...vile sina wazazi na nmezaliwa peke angu bas mume wangu nmemchukulia km ndo kaka, baba, mama, dada na kila kitu!
yaan jinsi nilivyo yaan simfichagi hata kitu ktk maisha yangu...furaha huzuni kila kitu anajua....napenda sana kupiga nae stori umbea n.k yaan tukianza kusengenya mtu weeeeee! nmezoea kwake kwan sinaga hata rafiki wa karibu sina mazoea na watu saaaanaaa..
Lakiniiii kitu ambacho kinaniumizaa bwana ni life style yy na bi mkubwa wake...mama ana tabu huyo cjapata ona! nmpenda sana lkn hapendeki! yaan sielewi ana tatizo gani....anamwekea mtoto ake biz sana kiasi kwamba ile furaha yangu nahisi inatoweka! na mtoto nae (mume) yy na mamake humuelezi kitu! anatupangia tuishi vile anavyotaka yy...sisi tukiplan kitu chetu yy anaenda anaharibu...hafla unamuona mtu hakupatilizi tena!
ni mda mrefu hili tatizo nmelifanyia uchunguzi nmegundua ni mama ndie anaharibu!
ni stori ndefu sana cpendi kuwachosha lkn sasaiv mume wangu sina stori nae....anaongea na mamake na sim mda wote! hata sokoni wanaenda wote napangiwa budget na ma mkwe tena anambia kabisaa nyanya hizo mwezi mzima!
kwanini imekuwa hivi ikiwa me ni mke nna kazi nna biashara najua kutafuta na mume wangu kipato chake kidogo sana! nikijaribu kumuuliza anakasirika ndo ctoongeleshwa cku tatu mtu kanuna!
mara mama mtu amfate mwanae asbh cjui wanaenda wapi!!? siambiwi wala siulizi! utakuta tumekaa watatu hafla wanaanza kunong'onezana...jamaniiii!!!??
baadhi ya watu wameshaiona hii picha naskiaga ckiaga tu wanasema mhhhh yule kaka anamsikiliza sana mamake naskia hata rafiki zake wanamwambia awe na msimamo na maamuzi yake...lakn wapiiiii!!!! jamani sina furaha...
hivi ndio wanaume wote walivyo au ni huyu wangu tuu?? naombeni ushauri kwani naumia sana hlafu nahisi kupoteza mapenzi na huyu mama...nmevumilia mengi sana kwake!
Kwanza tutake radhi wanaume,,, kosa la mme wako usi-generalize ndo wanaume wote tuko hvo

Pili pole sana kwa kuolewa na mama's boy

Tatu lawama zinarudi kwako hv mnaelewaga nn maana ya watu kua wenye uchumba. Coz huez sema hz tabia kaanzisha baada ya kukuoa tatzo lenu mnakurupukia ndoa mkihisi mtu atabadilika mbeleni

Ushaur upole ukizid sana ni utumwa ongea nae ukiona hataki kubadilika achana nae coz umesema una kaz na kipato chako jenga maisha yako mwenyewe
 
Kwa mujibu wa wahenga: UKIPENDA UTUNDA PENDA NA UA LAKE...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom