Kumbe wanaume ndio wapo hivi!?

Kumbe wanaume ndio wapo hivi!?

Wewe jamaa huwa nakukubali sana kwa mawazo yako wewe umeshindikana wewe ni mnyama kibongo bongo ndan ya selikal nakufananisha na mbabe wa kivita, mafionso aka mtemi chenge hugusiki
Mi binafsi siku nipatapo like yake huyu The Boss huwa najiona nimetoa bonge la point.

Hata nami namkubali mno aisee. M'Mungu azidi kumbariki
 
Aunt yake huwa sijuagi nini kinasababisha baadhi yao wanakuwa hivyo. Sasa huo sijui ndio tuuite wivu au ndio kumpenda sana mtoto wake.
Kukosa tu ufahamu nafikiri. Kumpenda mwanao ndo uende ukaingilie ndoa yake? Wamama wanaowaacha watoto wao waishi vizuri na familia zao ndo hawawapendi watoto wao? Ubaya amepata mwanaume asiyejitambua pia na yeye kashikiwa akili na mama yake. Kazi ipoooo
 
Mi binafsi siku nipatapo like yake huyu The Boss huwa najiona nimetoa bonge la point.

Hata nami namkubali mno aisee. M'Mungu azidi kumbariki
Huyo jamaa kuna siku moja alikua anatupa mbinu za kuwapata mademu masta inster maana huwa wanatabia ukimutumia msga hawJibu sasa mkuu the boss siku moja akanipa mbinu za kuwapata na kujibu hizo msg nikazitumia zike mbinu zake alizonipa aisee sikuamini kuona staa mmujo akijibu coment zangu

Huyo jamaa ni hatar sana the boss we mkali maujanja yako yamefanya saiv nina namba ya nandy na shilole
 
Inaonekana wewe ndio mkosaji, unasemaje wanaume tupo hivo, hii inadhiirisha kua unachepuka au una experience na wanaume maana huwezi kutumia uwingi wetu kumzungumzia mumeo.....

But kwa maelezo yako, kosa kubwa ulilolifanya ni kuonyesha wazi upendo wako asilimia 100% kwamba bila yeye huwezi fanya kitu,,

Wanasaikolojia wanasema The only way to get some one attention is to stop giving them yours,, jaribu hii kitu, I mean na wewe punguza mihemko kulialia kwa sababu yake au kujionyesha kua umekufa umeoza, trust me ukifanya hivi lazima ataona tu kuna kitu ana ki miss na ataanza kujirudi,, kama hamna tatizo lotote lililosababishwa na wewe,, au pia kama source sio mambo ya watoto trust ni lazima atajirudi.
 
Kukosa tu ufahamu nafikiri. Kumpenda mwanao ndo uende ukaingilie ndoa yake? Wamama wanaowaacha watoto wao waishi vizuri na familia zao ndo hawawapendi watoto wao? Ubaya amepata mwanaume asiyejitambua pia na yeye kashikiwa akili na mama yake. Kazi ipoooo
Kweli kabisa na hata sipati picha wanavyoishi humo ndani mana itakuwa yeye ndio mpangaji wa kila kitu utadhani nyumba ya kwake.

M'Mungu atuepushie aunt yake mana wakwe wengine ni majanga.
 
habari za maisha wana jf! naombeni kushare na nyie kuhusu hichi kitu kinachonikabili kwan naamini naweza kuelewa maisha jinsi yalivyo kwa kuwa kila siku tunajifunza.
Mimi nmeolewa miaka 6 iliyopita n am 31 now! mume wangu ndio kila kitu kwangu nampenda sana namhurumia namthamini pia...vile sina wazazi na nmezaliwa peke angu bas mume wangu nmemchukulia km ndo kaka, baba, mama, dada na kila kitu!
yaan jinsi nilivyo yaan simfichagi hata kitu ktk maisha yangu...furaha huzuni kila kitu anajua....napenda sana kupiga nae stori umbea n.k yaan tukianza kusengenya mtu weeeeee! nmezoea kwake kwan sinaga hata rafiki wa karibu sina mazoea na watu saaaanaaa..
Lakiniiii kitu ambacho kinaniumizaa bwana ni life style yy na bi mkubwa wake...mama ana tabu huyo cjapata ona! nmpenda sana lkn hapendeki! yaan sielewi ana tatizo gani....anamwekea mtoto ake biz sana kiasi kwamba ile furaha yangu nahisi inatoweka! na mtoto nae (mume) yy na mamake humuelezi kitu! anatupangia tuishi vile anavyotaka yy...sisi tukiplan kitu chetu yy anaenda anaharibu...hafla unamuona mtu hakupatilizi tena!
ni mda mrefu hili tatizo nmelifanyia uchunguzi nmegundua ni mama ndie anaharibu!
ni stori ndefu sana cpendi kuwachosha lkn sasaiv mume wangu sina stori nae....anaongea na mamake na sim mda wote! hata sokoni wanaenda wote napangiwa budget na ma mkwe tena anambia kabisaa nyanya hizo mwezi mzima!
kwanini imekuwa hivi ikiwa me ni mke nna kazi nna biashara najua kutafuta na mume wangu kipato chake kidogo sana! nikijaribu kumuuliza anakasirika ndo ctoongeleshwa cku tatu mtu kanuna!
mara mama mtu amfate mwanae asbh cjui wanaenda wapi!!? siambiwi wala siulizi! utakuta tumekaa watatu hafla wanaanza kunong'onezana...jamaniiii!!!??
baadhi ya watu wameshaiona hii picha naskiaga ckiaga tu wanasema mhhhh yule kaka anamsikiliza sana mamake naskia hata rafiki zake wanamwambia awe na msimamo na maamuzi yake...lakn wapiiiii!!!! jamani sina furaha...
hivi ndio wanaume wote walivyo au ni huyu wangu tuu?? naombeni ushauri kwani naumia sana hlafu nahisi kupoteza mapenzi na huyu mama...nmevumilia mengi sana kwake!


Hi tabia ni ya Huyo huyo wa kwako
 
Huyo jamaa kuna siku moja alikua anatupa mbinu za kuwapata mademu masta inster maana huwa wanatabia ukimutumia msga hawJibu sasa mkuu the boss siku moja akanipa mbinu za kuwapata na kujibu hizo msg nikazitumia zike mbinu zake alizonipa aisee sikuamini kuona staa mmujo akijibu coment zangu

Huyo jamaa ni hatar sana the boss we mkali maujanja yako yamefanya saiv nina namba ya nandy na shilole
The Boss is more than best aisee.
Hongera kwake.
 
Kweli kabisa na hata sipati picha wanavyoishi humo ndani mana itakuwa yeye ndio mpangaji wa kila kitu utadhani nyumba ya kwake.

M'Mungu atuepushie aunt yake mana wakwe wengine ni majanga.
Kwa kweli Mungu atuepushe tu. Mie nimetoka home kwetu naambatana na mume wangu sio mama yake
 
habari za maisha wana jf! naombeni kushare na nyie kuhusu hichi kitu kinachonikabili kwan naamini naweza kuelewa maisha jinsi yalivyo kwa kuwa kila siku tunajifunza.
Mimi nmeolewa miaka 6 iliyopita n am 31 now! mume wangu ndio kila kitu kwangu nampenda sana namhurumia namthamini pia...vile sina wazazi na nmezaliwa peke angu bas mume wangu nmemchukulia km ndo kaka, baba, mama, dada na kila kitu!
yaan jinsi nilivyo yaan simfichagi hata kitu ktk maisha yangu...furaha huzuni kila kitu anajua....napenda sana kupiga nae stori umbea n.k yaan tukianza kusengenya mtu weeeeee! nmezoea kwake kwan sinaga hata rafiki wa karibu sina mazoea na watu saaaanaaa..
Lakiniiii kitu ambacho kinaniumizaa bwana ni life style yy na bi mkubwa wake...mama ana tabu huyo cjapata ona! nmpenda sana lkn hapendeki! yaan sielewi ana tatizo gani....anamwekea mtoto ake biz sana kiasi kwamba ile furaha yangu nahisi inatoweka! na mtoto nae (mume) yy na mamake humuelezi kitu! anatupangia tuishi vile anavyotaka yy...sisi tukiplan kitu chetu yy anaenda anaharibu...hafla unamuona mtu hakupatilizi tena!
ni mda mrefu hili tatizo nmelifanyia uchunguzi nmegundua ni mama ndie anaharibu!
ni stori ndefu sana cpendi kuwachosha lkn sasaiv mume wangu sina stori nae....anaongea na mamake na sim mda wote! hata sokoni wanaenda wote napangiwa budget na ma mkwe tena anambia kabisaa nyanya hizo mwezi mzima!
kwanini imekuwa hivi ikiwa me ni mke nna kazi nna biashara najua kutafuta na mume wangu kipato chake kidogo sana! nikijaribu kumuuliza anakasirika ndo ctoongeleshwa cku tatu mtu kanuna!
mara mama mtu amfate mwanae asbh cjui wanaenda wapi!!? siambiwi wala siulizi! utakuta tumekaa watatu hafla wanaanza kunong'onezana...jamaniiii!!!??
baadhi ya watu wameshaiona hii picha naskiaga ckiaga tu wanasema mhhhh yule kaka anamsikiliza sana mamake naskia hata rafiki zake wanamwambia awe na msimamo na maamuzi yake...lakn wapiiiii!!!! jamani sina furaha...
hivi ndio wanaume wote walivyo au ni huyu wangu tuu?? naombeni ushauri kwani naumia sana hlafu nahisi kupoteza mapenzi na huyu mama...nmevumilia mengi sana kwake!
Ungetupia na picha za hao watu ili tukushauli vzur
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom