Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,938
- 4,354
Lissu leo Morogoro amedai kwamba viongozi wa CCM wanamiliki viwanja ambavyo hawavitumii huko Morogoro. Huenda ndo maana kuna migogoro ya Ardhi huko Morogoro kwa sababu wafugaji wanakosa maeneo ya malisho.
Nimeona document inaonesha vigogo wa CCM wanaomiliki viwanja huko Morogoro.
Nimeona document inaonesha vigogo wa CCM wanaomiliki viwanja huko Morogoro.