If it's tactic used by african leaders then there is nothing wrong as we are in Africa aren't we?
...kosa kubwa kuidharau Serikali, serikali huwa IPO tu madarakani ila viongozi houndokaSi alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Unasema nini? Unapajua Africana? Dar es Salaam upande wa kushoto ukielekea Bagamoyo? Kuna eneo kuuubwa kama pori sasa hivi kuna, Total Petrol Station na yard na Godowns mbali mbali mpaka Shule ya HOPAC ni mali yao na ni baadhi tu ya sehemu za mali zao. Jengo lililokuwa Sheraton sasa Serena wana hisa nyingi tu. Usikurupuke.Alisema serikali yote ya Tanzania kaiweka mfukoni mwake, mwisho wa siku akajikuta kawekwa mfukoni yeye na familia yake.
Ushawahi kukutana na mfanyakazi mjinga ambaye yeye katokea tu kumpenda bosi wake? Yaani huyu bwana hatabosi asimlipe mshahara wake wa mwezi yeye haambiwi wala hasikii kisa kampenda tu boss wake, wakitokea watu kwenda kumtetea mfanyakazi huyo kwa boss wake, utakuta mfanya kazi huyohuyo anagombana na hao wanaomtetea ili alipwe, yote ni sababu mfanya kazi Ana mahaba na boss wake, na hakuna lolote analopata, ukiangalia hata kula yake shida, usiombe kukutana na mfanya kazi huyoSi alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Kuna taarifa kuwa jamaa wanatafuta taarifa za kifedha za Mch. Zakary Kakobe.
Nadhani serikali na TRA wangejikita kwenye issues za maana wakaacha visa na mikasa.
waache waendelee kumfuatilia ili wapewe za uso vizuri. hawamjui nafikiri. the more they play with him the more they disclose their weaknesses
..utajiri wa Kiroho utawakopesha Mawaziri?..lkn jamaa alishasema utajiri aliomaanisha ni wa kiroho bhana
The amuletWale wenye hirizi roho ziko juu juu
Tubuni tu wacheni majungu ya kishambaSi alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Na wewe una ka hirizi nini kama Bwana yule!?To down fall Mr. Ka-Tortoise
wamesahau na fedha zilizoko MPESA,TIGOPESA N.K
baada ya zoezi hili TRA ituambie kama ni kweli KAKOBE ana fedha kuliko serikali yetu.
Kama ni kweli watuambie kama amelipakodi stahiki na zilielekezwa sekta ipi.
Kama ni uongo ashitakiwe
Tumia akili mkuu, Kama huna cha kuandika piga kimya tu. Ni serikali hii hii ilisema haifanyii kazi matamko ya kwenye media, hata Yale yanayohatarisha uhai wa raia wake. Hili la Kakobe Lina tofauti gani? Don't you see a double standard here in afull swing?Ni wajibu wa serikali na sio umbeya kama ufikiriavyo
Hawa kweli wachovu. Fixed deposits hutozwa kodi sasa taarifa zake ni za nini?Kuna taarifa kuwa jamaa wanatafuta taarifa za kifedha za Mch. Zakary Kakobe.
Nadhani serikali na TRA wangejikita kwenye issues za maana wakaacha visa na mikasa.
Mume wa dada Bashite amejipa kazi nyingi sana zisizo za lazima. Ufalme utamshinda.
Nadhani watamshtaki kwa kuudanganya umma. Hahahahaaaaa!Na vipi wakaja kujua kwamba hana pesa kuliko serikali
Mambo ya imani ni magumu...Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka