Tetesi: Kumbe TRA bado wanamfuatilia Askofu Kakobe

Ghadhabu za kutubu hizi.!:D
waache waendelee kumfuatilia ili wapewe za uso vizuri. hawamjui nafikiri. the more they play with him the more they disclose their weaknesses
Acha wapate kazi za kufanya wawe busy, sio tu kukaa na kusoma magazeti ofisini halafu mwisho wa mwezi walipwe kwa kodi zetu.

Ndugu zangu, Serikali huwa ina shirika na mtu anayeisaidia. Ukiigiza kwa sifa za makofi na vigelgele, matokeo yake ni hayo. Naweza tabiri kwamba watampata maana heshima wanayopewa viongozi hawa na dini huitumia visivyo, na huenda wana hakika nini kimekuwa kikifanyika ndani ya akaunti zake maana wwanazifahamu zote kwa majina.

Kwa kanisa lake, hata siyo dhehebu, unawezaje kujivunia utajili wa pesa, halafu ukiona umebambwa unajidai ni utajili wa kiroho? Roho ndiyo pesa? Biblia anayoijua imesema pesa?
 
Kakobe alivyomjanja mjanja hawezi kuweka pesa za sadaka ya kondoo wa Bwana kwenye benki zetu hizi.....Hela yake ipo Ushelisheli nawaambia.
 
Ndugu zangu, Serikali huwa ina shirika na mtu anayeisaidia. Ukiigiza kwa sifa za makofi na vigelgele, matokeo yake ni hayo. Naweza tabiri kwamba watampata maana heshima wanayopewa viongozi hawa na dini huitumia visivyo, na huenda wana hakika nini kimekuwa kikifanyika ndani ya akaunti zake maana wwanazifahamu zote kwa majina.

Kwa kanisa lake, hata siyo dhehebu, unawezaje kujivunia utajili wa pesa, halafu ukiona umebambwa unajidai ni utajili wa kiroho? Roho ndiyo pesa? Biblia anayoijua imesema pesa?
Haijalishi kuwa Kakobe ana kosa au la, point hapa ni kuwa, kwanini mnazubaa mpaka mtu ajigambe ndio muanze kumchunguza?! Ina maana kama alikuwa anafanya ubadhirifu kimya kimya bila kujigamba msingeshughulika naye?! Utendaji gani huu?!
 
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....


Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake

Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Wewe unaona sawa TRA kuogopwa?
 
Haijalishi kuwa Kakobe ana kosa au la, point hapa ni kuwa, kwanini mnazubaa mpaka mtu ajigambe ndio muanze kumchunguza?! Ina maana kama alikuwa anafanya ubadhirifu kimya kimya bila kujigamba msingeshughulika naye?! Utendaji gani huu?!
Uchunguzi ili ufanyike lazima zipatikane taarifa. Huwezi kuanza kumchunguza mtu bila sababu za msingi. Kazi nyingine ziitafanyika saa ngapi. Hata polisi wakipokea taaarifa za uhalifu ndo wanaanza kuzichunguza. Kama hana hatia, hana sababu ya kuogopa, akionekana mlipa kodi muadilifu ataachwa. Kwani wewe hutaki kujua ukweli juu ya utajiri wake na kama analipa kodi kikamilifu??
 
Kuna taarifa kuwa jamaa wanatafuta taarifa za kifedha za Mch. Zakary Kakobe.

Nadhani serikali na TRA wangejikita kwenye issues za maana wakaacha visa na mikasa.

img-20180104-wa0009-jpg.668434
Utawala uliofitinika, tuchokozeni tu Wakristo!
 
Uchunguzi ili ufanyike lazima zipatikane taarifa. Huwezi kuanza kumchunguza mtu bila sababu za msingi. Kazi nyingine ziitafanyika saa ngapi. Hata polisi wakipokea taaarifa za uhalifu ndo wanaanza kuzichunguza. Kama hana hatia, hana sababu ya kuogopa, akionekana mlipa kodi muadilifu ataachwa. Kwani wewe hutaki kujua ukweli juu ya utajiri wake na kama analipa kodi kikamilifu??
Kwahiyo kumbe nikifanya mambo yangu kimya kimya pila kupayuka nitaendelea kuponda raha zangu! Kweli intelijisia yetu bado sana. Kwa mtaji huu hatuko salama. Kumbe mpaka mtu upayuke ndio wapate pa kuanzia! Zipo nchi hata ungekaa kimya, kama vitu vyako havijanyooka watakushtukia tu na kukufuatilia.
 
Kwahiyo kumbe nikifanya mambo yangu kimya kimya pila kupayuka nitaendelea kuponda raha zangu! Kweli intelijisia yetu bado sana. Kwa mtaji huu hatuko salama. Kumbe mpaka mtu upayuke ndio wapate pa kuanzia! Zipo nchi hata ungekaa kimya, kama vitu vyako havijanyooka watakushtukia tu na kukufuatilia.
Ukwepaji kodi bado ni mkubwa sana Tanzania...hiyo sio siri. Hatujafika huko kwa wenzetu ila tutafika tu. Ndo maana bado wanatakiwa raia wema watoe taarifa za ukwepaji kodi kwa TRA. Huyu kakobe kama ni mkwepa kodi kajikaanga mwenyewe.
 
Haijalishi kuwa Kakobe ana kosa au la, point hapa ni kuwa, kwanini mnazubaa mpaka mtu ajigambe ndio muanze kumchunguza?! Ina maana kama alikuwa anafanya ubadhirifu kimya kimya bila kujigamba msingeshughulika naye?! Utendaji gani huu?!
Kwa maoni yako, unaamini kila mtu anatakiwa kuwa kwenye uchunguzi siku zote? Lazima iwepo sababu. Ukianguka na gari tukaona pembe za ndovu na tukaanza kukuchunguza, unawezaje kuuliza eti mpaka nianguke na gari.

Ngoja achunguzwe ndo ieleweke. Ndo atapima busara yake kama inamtosha au ajiongeze.
 
Kwa staili hii, Tanzania ya viwanda ni apeche alolo! ikungulyamabashashi!
 
Mtumishi Kakobe wala usiwapigie magoti hawa watu walioamua kumtumikia shetani.Imeandikwa,"
Mateso ya mwenye haki ni mengi, Lakini BWANA humponya nayo yote."
ZAB. 34:19
Mungu yuko upande wako wala hata kuacha!
 
Ina maana toka Jan 2014 hadi Dec 2017 walikuwa hawafanyi kazi??!!
Taasisi za dini zimepewa 'upendeleo' wa kujifanyia mambo yake bila kufutiliwa na serikali kwa kuwa tu zinashughulika na masuala ya imani za dini. Inapotokea viongozi wake wanatumia 'upendeleo' huo vibaya kama vile kujihusisha na mambo ya siasa ndipo serikali anapoamua kutimiza wajibu wake ipasavyo kwa kuondoa ule 'upendeleo' waliopewa. Askofu Kakobe hana mamlaka ya kumtaka Rais wa nchi atubu ili hali siyo muumini wake na pia suala la toba hiari ya mtu bila kushurutishwa na yeyote hata awe kiongozi wa dini.
 
Back
Top Bottom