waache waendelee kumfuatilia ili wapewe za uso vizuri. hawamjui nafikiri. the more they play with him the more they disclose their weaknessesKuna taarifa kuwa jamaa wanatafuta taarifa za kifedha za Mch. Zakary Kakobe.
Nadhani serikali na TRA wangejikita kwenye issues za maana wakaacha visa na mikasa.
Mods, naomba msiutoe huu uzi!! Ni taarifa sahihi kabisa
Acha woga wa kike wewe mwanaume wa dar nini?Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati akisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma ..TRA bora ukutane na FFU
Ni wajibu wa serikali na sio umbeya kama ufikiriavyoWamekosa kazi za kufanya nao watakuwa kama wapiga majungu.
Umenikumbusha efatha!Kuna taarifa kuwa jamaa wanatafuta taarifa za kifedha za Mch. Zakary Kakobe.
Nadhani serikali na TRA wangejikita kwenye issues za maana wakaacha visa na mikasa.
Mods, naomba msiutoe huu uzi!! Ni taarifa sahihi kabisa
Witch huntingKuna taarifa kuwa jamaa wanatafuta taarifa za kifedha za Mch. Zakary Kakobe.
Nadhani serikali na TRA wangejikita kwenye issues za maana wakaacha visa na mikasa.
Mods, naomba msiutoe huu uzi!! Ni taarifa sahihi kabisa
Hiyo ndiyo shida ya akili yakimaskiniSi alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka