Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,239
- 5,303
Kama Feza wanaiba pepa na nyie ibeni nyambaf
Hii misemo ya shule zinazofanya vizuri nimezisikia wakati huo naambiwa special schools wanaiba mitihani
Nimeenda Tabora Boys nikakuta vijana wanapiga msuli mrefu ..Kama husomi hata ukipewa pepa hutaweza kufaulu
Hii misemo ya shule zinazofanya vizuri nimezisikia wakati huo naambiwa special schools wanaiba mitihani
Nimeenda Tabora Boys nikakuta vijana wanapiga msuli mrefu ..Kama husomi hata ukipewa pepa hutaweza kufaulu