othiambo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2014
- 1,982
- 2,768
Hahaha! nimekumisi MJ au kuna Umangube hapo?P kuna ukakasi mwingi sana kwenye hizo sababu za kifo hebu tuzame mtandaoni tuone cardiac arrest inatokeaje kwanza
Hahaha! nimekumisi MJ au kuna Umangube hapo?P kuna ukakasi mwingi sana kwenye hizo sababu za kifo hebu tuzame mtandaoni tuone cardiac arrest inatokeaje kwanza
Kwani kuwa mwanafamilia ni lazima uwe kabila moja na muhusika? Waswahili tunasema mjomba ni mama lakini wewe na mjomba wako mnaweza kuwa makabila tofauti. Mama yako mzazi mnaweza kuwa makabila tofauti.Urio ni mchaga na mkapa ni mmakonde ile haikuwa kauli thabiti ya familia bali walikurupuka ingawa sasa wanajuta
Urio ni mchaga na mkapa ni mmakonde ile haikuwa kauli thabiti ya familia bali walikurupuka ingawa sasa wanajuta
basi sawa... but yule nanii wa hapo Bujumbura walisema eti ni "heart attack". na mama wa kwanza alikuwa Nairobi kwa matibabu dhidi ya mdudu "equalizer".Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.
Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.
Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.
Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya
Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari
Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.
Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.
Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.
RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.
Paskali
Wanadai alilazwa sababu ya Malaria so cardiac arrest imempitia usiku...!! Mtu alazwi sababu ya cardiac arrest ile inakupigaa na kukukaushaa chap hakuna cha CPR wala dawaa...
ndammu,
Kumbuka jana yake kikwete alikuwa hospitali na marehemu wakipiga story, sidhani kama hospitali ni wajinga kuruhusu kikwete kama mkapa angekuwa na corona.
Basi hujui maana ya cardiac arrest; na usiombe ikukute, kwa sababu ndiyo chanzo kikuu cha vifo tunavyoita vya ghafla.Tangu lini cardiac arrest ukawa ugonjwa, magonjwa yote yanayosababisha kifo lazima yatapelekea moyo kusimama na hiyo ndo inaitwa cardiac arrest, sasa nyie waandishi makanjanja wa kibongo mnajitia ujuaji kwenye mambo ambayo hamna uelewa hata chembe kujitafutia cheap popularity, kwa nini msiulize wataalamu kwanza, bullshit..
Ni kweli kabisa mkuu, mimi sijui cardiac arrest kama ugonjwa. Ninafahamu kwa utaalam maana ya cardiac arrest , ina presentation gani, sababu za kutokea na kwanini. Hapo sibebi maelezo ya kienyeji, reja reja au kwa kuchuuza! nope."Kichuguu, post: 36153031, member: 348"]
Umeandika maneni mengi lakini hayana mantiki kabisa; kwa mfano unaponiluliza kuhusu ushiano wa cardiac arrest na malaria inaonyesha ama hujui maana ya cardiac arrest au hutaki kuamini yaliyosemwa na nduugu tu.
Mkuu naomba usiendelee kujibu mambo ya kitaalamu kwa utalaam binafsi.Cardiac arrest haina uhusiano na kitu kingine chochote bali mwili wenyewe. Na wala hakuna aliyesema kuwa cardiac arrest hiyo imesababishwa na Malaria; taarifa zilizoko ni kuwa alilazwa hospitali kwa sababu ya Malaria, na amepatwa na cardiac arrest akiwa hospitali; ingeweza kumkuta akiwa nyumbani au mahala pengine popote pale. Cardiac arrest huwa haina symptoms zozote; ni kitu cha ghafla tu. Ili upate resuscitation inabidi CPR ifanyike mara moja, ukishachelewa muda wa kama nusu saa basi, mgonjwa haponi tena. Halafu pia CPR huwa haina gurantee hasa watu wa zaidi ya miaka 65; ni kama 10-15% tu wanaopona. Mkapa alikuwa na miaka 81 na tena overwheight. Wewe huna record za afya yake na wala hujui alikuwa anatibiwa wapi maiak 15 iliyopita tangu atoke madarakani.
Sina theory ya aina yoyote ile, nilikuwa kimya. Nimechangia kutokana na wimbi la upotoshaji unaondelea kutokana na maelezo nusu nusuMimi siyo mtu wa conspiracies na wala "sikukomalia malaria.
Mkuu mbona Nyumisi kaeleza vizuri! Tunakubaliana na ughafla wa cardiac arrest na tunakubali ni chanzo cha matatizo ya vifo vya ghafla.Basi hujui maana ya cardiac arrest; na usiombe ikukute, kwa sababu ndiyo chanzo kikuu cha vifo tunavyoita vya ghafla.
Hii kwa lugha ya kistaarabu wengine husema hii ni rush to judgement lakini maana yake hasa ni poor reasoning, yaani mtu anayechukua maneno na kuyaungaunga ili atoe story anayotaka ikiwa hiana uhusinoa na story halisi.Mkuu mbona Nyumisi
Mkuu hakuna ugonjwa wa cardiac arrest!
Tangu lini cardiac arrest ukawa ugonjwa, magonjwa yote yanayosababisha kifo lazima yatapelekea moyo kusimama na hiyo ndo inaitwa cardiac arrest, sasa nyie waandishi makanjanja wa kibongo mnajitia ujuaji kwenye mambo ambayo hamna uelewa hata chembe kujitafutia cheap popularity, kwa nini msiulize wataalamu kwanza, bullshit..
Mkuu Kichuguu usiwe na jazba, hoja inajibiwa kwa hoja.Basi hujui maana ya cardiac arrest; na usiombe ikukute, kwa sababu ndiyo chanzo kikuu cha vifo tunavyoita vya ghafla.
Mkuu wangu JF ya sasa si ile tuijuayo ,hii sasa ni sijui ikojeHii kwa lugha ya kistaarabu wengine husema hii ni rush to judgement lakini maana yake hasa ni poor reasoning, yaani mtu anayechukua maneno na kuyaungaunga ili atoe story anayotaka ikiwa hiana uhusinoa na story halisi.
Ni wapi mimi Kichuguu nimesema kuwa Mkapa alikuwa "anaumwa ugonjwa cardiac arrest"? Au ni wapi ndugu wa marehemu au wafanya kazi wake wa Mkapa Foundation waliposema kuwa alikuwa anaumwa ugonjwa wa cardiac arrest?
Wametupa taarifa kuwa Mkapa alikuwa hajisikii vizuri, akaenda hospitali, akakutwa na Malaria, hivyo akaanza matibabu ya malaria. Halafu alipokuwa akiendelea vizuri na matibabu akitegemea kuondoka hospitali kuendelea na mikutano yake ya kawaida akapatwa na cardiac arrest baada ya kusitikiliza taarifa ya habari ya saa mbili usiku. Wewe unataka kubadilisha kusema kuwa cardiac arrest ni ugonjwa wakati ile ni matokeao ya health conditions siyo disease?
Sikiliza huyu ni mtoto wa Mkapa; je nyie wote mnaopinga tarifa zake mnajua ukweli zaidi yake?
Kuna video clips kadhaa nimeziangalia hapo youtube kukiwa na mfanyakazi wa Mkapa Foundation aliyekuwa anaandaa mkutano wa marais wastaafu wa nchi za maeneo yetu na askofu aliyekuwa na appointmemt na Mkapa wote wanasema lile lile halafu eti wanakuja hapa wana JF waajuaji zaidi wa kufikirika tu, hii ni aibu sana kwa JF.
Mkuu Kichuguu usiwe na jazba, hoja inajibiwa kwa hoja.
Hapo juu maelezo yako hayana shaka 'cardiac arrest' ni maradhi.
Sisi tunakwambia hapana si maradhi ni matokeo ya tatizo au matatizo mengine
Clip na maneno mengine hayaondoi ukweli kuwa ' cardiac arrest' si ugonjwa ni matokeo ya matatizo
Mkuu kichuguu mimi sitegemei hadithi, nayafahamu haya mambo na nikikwambia nayafahamu ninayafahamu hasa.
Ili kuongelea moyo unapaswa ujue mambo mengi, nikikutajia utachanganyikiwa.
Unajua anatomy na physiology ya moyo, cardiac arrhythmia, unajua myocardial infarction, unajua angina, unajua CHF, unajua ion exchange katika heart muscle, unajua coronary artery na uniqueness yake, unaijua aorta wewe. Unajua heart valves
Ushawahi kusikia kitu kinaitwa biochemistry au pathophyisology.Sasa haya ni tone tu ndani ya ndoo ya elimu ya moyo. Kuna mahali umeongelea symptoms, sijui kama unajua tofauti ya symptom na sign
Ninahakika hujui kwasababu hata homa utaita ugonjwa wa homa!
Kwa taarifa hakuna ugonjwa wa homa Homa ni dalili ya ugonjwa (symptom).
Haitokei homa bila sababu. Ndiyo maana tunakushangaa na ''cardiac arrest'' .
Mkuu haya yanahitaji ukae darsa , hayahitaji kusikia na clip za mitandaoni.
Kama unasema kuna ugonjwa unaitwa cardiac arrest, basi kuna siku utatuambia kuna ugonjwa unaitwa edema, mwingine gallop rythm! mwingine mitral valve regurgitation, emboli au embolism n.k. hapo watu ni kicheko pwaaaaa!
Mkuu , wewe ongeleaa malaria na mbu mmoja kama ile post uwape watu siku.
Huku kwenye moyo kaa mbali,ninakusitiri mkuu jisetiri mwenyewe.
Mbona unanukuu bandiko lako mwenyewe?, Unaonaje kama bandiko lako jipya ingekuwa post ndani ya bandiko la awali?Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya
Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari
Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana
Ni hivi kaa kimya hujui lolote la anatomy ya binadamu wala physiology.Na kama unadhani unajua mambo ya cardiac arrest basi ni wazi huyajui vizuri kwani maandiko yako hapa hayaonyeshi kutoka kwa mtu anayejua cardiology na human anatomy sawasawa. Ingawa mimi siyo daktari wa binadamu, at least nina uelewa wa kutosha kuhusu mwili wa binadamu kuliko wewe unayejaribu kuunganisha malaria na cardiac arrest.
Kushindwa kuunganisha information ni failure kubwa sana kwa mtu yeyote anayedhani ni mjuaji. Unapoanza kusema ninapotosha umma ni reflection ya kushindwa kuunganisha information iliyoflow kwenye mada hii. Mimi nitaendelea kuamini habarfi zinazotoka kwenye reliable sources, siyo za kijiweni. Sikusema kuwa Mkapa kafa kwa Cardiac arrest au kwa malaria bali ni ripoti zilizoletwa na mtoto wake. Kama wewe ni daktari wake au ni mtoto wake mwingine anayejua zaidi basi ongeeni hilo kiukoo ndipo mtuletee taarifa kamili.Ni hivi kaa kimya hujui lolote la anatomy ya binadamu wala physiology.
Huwezi kuzungumza nami kuhusu medicine hata dakika moja.
Tume debunk hoja ya cardiac arrest kama maradhi uliyotaka kulisha watu.
Huko kwenye malaria utajua, the bottom line ni kuwa cardiac arrest si maradhi.
Sina sababu na sitaki hata kujua nini kilitokea, lakini sitakaa kimya ukipotosha umma !
Mwalimu wewe endelea kufundisha huku kwa binadamu tuachie tunaojua
Hakuna ugonjwa wa cardiac arrest duniani huo ni wako na inatosha kufunga mjadala .
Sijui jiografia kama wewe, lakini moyo! -tafadhali mwalimu.
Nikushauri ukapitie pathophysiology of Malaria vizuri and its association with malaria...coz the association is there,Still connecting the relation of Malaria with Cardiac arrest sipati jibu? but kuna uhusiano mkubwa kati ya upumuaji na shambulio la moyo.
Jiongezeni wakubwa, Israel mtoa roho bado anawinda roho za watu wenye shingo ngumu.
Mimi sina conspiracy yoyote ile. Ninajaribu sana kuangalia nani anatengeneza conspiracyKushindwa kuunganisha information ni failure kubwa sana kwa mtu yeyote anayedhani ni mjuaji. Unapoanza kusema ninapotosha umma ni reflection ya kushindwa kuunganisha information iliyoflow kwenye mada hii. Mimi nitaendelea kuamini habarfi zinazotoka kwenye reliable sources, siyo za kijiweni. Sikusema kuwa Mkapa kafa kwa Cardiac arrest au kwa malaria bali ni ripoti zilizoletwa na mtoto wake. Kama wewe ni daktari wake au ni mtoto wake mwingine anayejua zaidi basi ongeeni hilo kiukoo ndipo mtuletee taarifa kamili.
Sifa moja kubwa ya intellectualism ni kuwa makini na unayosema.Siwezi kukujudge kwa ulioandika hapa, Bali nakushauri uwe makini na unayoandika na uachane kabisa na conspiracy theories
Asee kama udaktari sio taaluma yako ni bora ukagather information ya kutosha kabla hujatoa hoja.Kwa kukusaidia tu nenda kagoogle sudden causes of cardiac arrest uone kama if it is necessarily for someone to be in coma ndio appate arrest.Tuachieni taaluma yetu.Shambulio la moyo mara nyingi mtu huwa yupo kwenye coma na anakuwa chini ya uangalizi wa madaktari muda wa kuzungumza zaidi ya saa zima anatoa wapi...
Naona awamu hii shambulio la moyo ndio kimbilio..