Kumbe sababu ya kifo cha Mkapa ni Cardiac Arrest. Asante sana mwanafamilia William Erio kumaliza sintofahamu hii

Umeambiwa hivi ili binadamu afe nilazima pawepo na shambulio la moyo, watu wanachotafta ni hilo shambulio la moyo limesababishwa na nini?

Shambulio la Moyo linasababishwa na sababu lukuki zikiwemo kuwepo kwa historia ya magonjwa ya Moyo katika miaka ya karibuni au wakati huo huo, sababu nyingine ni matatizo ya damu kuganda pasipo kufuata utaratibu wa Mwili(Coagulation disorder or Coagulopathy) na Nyingine uwepo wa Mafuta mabaya (Bad cholesterols) kwenye mishipa ya damu iliyopo kwenye Moyo na sehemu zingine za mwili..!
 
Acha uzwazwa unajua incidence ya kutokea cardiac arrest. Ficha upumbavu wako?

We ndio ufiche upumbavu wako, hivi unahisi Utendaji kazi wa mwili ni sawa na vile akili zako mbovu zilivyo. Mwili ni systematic na wakati mwingine magonjwa kama hayo hayo hutokea idiosyncratically.
 
Basi hujui maana ya cardiac arrest; na usiombe ikukute, kwa sababu ndiyo chanzo kikuu cha vifo tunavyoita vya ghafla.
Basi mtakuwa mnachanganya heart failure na cardiac arrest, heart failure inaweza kuwa chronic ndo unakuta mtu ana tatizo la moyo la muda mrefu. Sasa unaweza kupata acute/peracute heart failure ambayo mtu anafariki ghafla, mfano akiwa usingizini, nafikiri hii ndo nyie mnaita cardiac arrest. Nafikiri Nguruvi3 yupo well infomed kwenye hilo eneo ni kuwa mpole tu uweze kuelimishwa, hakuna haja ya kubishana..
 
Mkuu, mimi nina uelewa kiasi kidogo wa haya mambo. Ukiangalia vyeti vyote vya kifo, kuna kitu kinaitwa "immediate cause of death". Immediate cause ya vifo vyote duniani ni cardio-pulmonary arrest. Ufe kwa cancer, COVID-19, HIV/AIDS, kuishiwa damu wakati wa kujifungua nk, ili ufe ni lazima hivi visababishi visabibishe "cardio-pulmonary arrest" (moyo na mapafu kutokufanya kazi ama moyo kufa). Alichotakiwa kusema Erio ni nini kimesababisha cardiac arrest kwa mzee wetu. Hicho pengine hatokisema.

Nikupe mfano. Ni kama mtu kasema nyumba imebomoka bila kutoa chanzo chake. Inaweza kubomoka kwa maporomoko, kubomolewa na grader kwa vile umejenga barabarani nk. Nadhani umeelewa.

Update: Kwa mujibu wa wachangiaji wengi humu wanasema ni malaria. Kwa hiyo malaria ndio pengine imesababisha "cardic arrest" kwa mzee. Lakini kusema tu "cardiac arrest" ni sawa na kusema kifo chake kimesababishwa na kifo.
Yap upo sawa kunakuwa na - entry trigger desease
 
Basi mtakuwa mnachanganya heart failure na cardiac arrest, heart failure inaweza kuwa chronic ndo unakuta mtu ana tatizo la moyo la muda mrefu. Sasa unaweza kupata acute/peracute heart failure ambayo mtu anafariki ghafla, mfano akiwa usingizini, nafikiri hii ndo nyie mnaita cardiac arrest. Nafikiri Nguruvi3 yupo well infomed kwenye hilo eneo ni kuwa mpole tu uweze kuelimishwa, hakuna haja ya kubishana..
Kama ww ni Dr big up sana kwa ufafanuzi,
lkn kama ni lihuni la mtaani limevamia proffession za watu.....
basi kwenda zako.....
 
Kafia hospitali ya hapo Makumbusho yani simple kabisa. Hii tabia ya watanzania kufuata mawazo ya mfalme na kumnyenyekea kwa kumuogopa yatatumaliza. How come unaambiwa Tanzania Corona imepotea na wewe kwa uzuzu huku ukiwa na elimu kichwani unaamini? Huo ni ulemavu wa aina yake!
HOSPITALI HAINA JINA?
 
Mkuu hili tukio zima lina utata sana. Na kwa kweli utata huu mimi nauona kama unaletwa kwa "makusudi" kabisa, sio kwamba watu hawajui kinachotakiwa kufanyika (tena mengine sheria imeshurutisha yafanyike....lakini bado unaona gaps). Nasita kuamini kuwa ni communication failure ya kawaida tu. Kwa mfano tu, kulikuwa na haja ya "kuficha" jina la mahali alipofia? Hasa kama sababu ni tatizo la moyo?

Hata sababu hasa ya kifo, tusingepaswa kuambiwa na Erio. Sheria inataka serikali iseme sababu ya kifo, pamoja na mambo mengine.

Nikivyosikiliza maelezo ya JK, nilihisi pengine BWM alikuwa pengine anasumbuliwa na "tumbo" (JK aligusia Mkapa kujisikia maumivu). Maelezo ya JK hayakuashiria "severe malaria" kabisa. Well, najua unaweza kuwa na malaria na tumbo likasumbua. Kuna kitu nafikiri hakijakaa sawa sawa bado.

Muda utasema.

RIP Mzee Mkapa.
Yawezekana hakufia Hospital ya serkali.
 
Kama ni ajali si kila mtu atakuwa ameona?..
Unaona sasa upumbavu wa watanzania wanakwambia sio shambulio la moyo.
Ni ugonjwa mwingine. Sasa utajiuliza hata kama marehemu kafa kwa ukimwi wewe ukijua itakusaidia nini?
Ndo maana nasema ni upuuzi kutangaza mgonjwa kafa na ugonjwa gani?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
KWANI WATU WOTE WANAOKUFA KWA AJALI WEWE HUWA UNAIONA HIYO AJALI? KUJUA KWAMBA MAREHEMU KAFA KWA UKIMWI ITANISAIDIA KUCHUKUA TAHADHARI NA KUWAELIMISHA WENGINE JUU YA HATARI YA UGONJWA HUSIKA. KWANI WEWE ULIPOJUA KWAMBA WACHINA WANAKUFA KWA WINGI KWA SABABU YA CORONA WEWE HAIKUKUSAIDIA KITU? UJINGA MWINGINE NI MZIGO MKUBWA.
 
Back
Top Bottom