Kumbe Prof. Mruma si mzalendo kama wengi wanavyodhani

Kumbe Prof. Mruma si mzalendo kama wengi wanavyodhani

Mwambie aje Sasa apangue hoja zake, profesa Gani unasainishwa kitu bila kusoma idiot professor!

Pogba wa tz nchi imekushinda!
Na uprofesa atakuwa kapata kimagumashi.Atasemaje yupo busy wakati hiyo kazi kaikubali kama angeona hawezi majukumu si angejiuzulu awape wengine kazi.
Huyo ni Propesa siyo profesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mods mnaachaje thread za kijinga namna hii? Eti ripoti magumashi. Huu Sasa si upinzani tena, ni uadui dhidi ya Watanzania
Njoo profesa mwizi amekamatiwa hukuu, ripoti magumashi kama alivyo profesa magumashi

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Wewe ni mnafiki Sana, na ni mamluki mkubwa kabisa wa wazungu.
Huko mwadui kuna tume yoyote iliundwa kiasi kwamba Prof Mruma akaibeba Mwadui? ulitaka afanyeje Prof? kwani alikuwa rais kipindi hicho? Hivi vijisenti mnavyohongwa na hayo majambazi zitawatokea puani.
Njoo utuambie nani ni mnafiq kwa snario ya Jana bungeni

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Umefungua Id Jana kuja kubwabwaja hapa

Mfa maji haishi kutapa tapa Mruma na timu yake wamefanya tafiti na kupima lab

Hebu wewe tupe report yako uliyoifanyia kazi ,

Mmeshikwa pagumu na bado mtafungua id mpya kila siku
Mkuu kama nakuona uso ulivyokushuka.
 
Kama Professor mzima na akiri zake anasaini bila kusoma, tutaiaminije sasa ile report yake ya Makinikia??
Siyo kwamba hata ile report ya makinikia alipewa tu akasaini na kwenda kuwasilisha kwenye halaiki bila kijirizisha na kilichomo ndani/ kilichoandikwa??.
Mpaka hapa Report yote ya makinikia ni RUBISH 75%.
 
Nina wasiwasi kama tutashinda kesi au kama tutalipwa chochote kwa kutumia hizi data za akina MURUMA na OSORO.
Uwezekano wa sisi wananchi kupitia kodi zetu kuanza kulipwa kwa kampuni ya ACACIA ni mkubwa saaaaana.
 
watu wajue kumpinga profess unapaswa kuwa na data siyo poyoyo za hovyo hovyo!! Skuiz hata poyoyo std 7 anataka kumfundisha profesa kazi


Unasemaje kuhusu ripoti ya Bunge? Nao ni mapoyoyo?
 
Na uprofesa atakuwa kapata kimagumashi.Atasemaje yupo busy wakati hiyo kazi kaikubali kama angeona hawezi majukumu si angejiuzulu awape wengine kazi.
Huyo ni Propesa siyo profesa

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maprofesa ya Tanzania ni ya kunyongaaaaa mpaka yafee tuanze upyaaa! Tujue tu nchi haina profesa idiot

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
watu wajue kumpinga profess unapaswa kuwa na data siyo poyoyo za hovyo hovyo!! Skuiz hata poyoyo std 7 anataka kumfundisha profesa kazi
Yaaani huyu mruma Bora tu huo uprofesa tumpe Kibajaji au shishi baby! Swala kusaini bila kusoma nani atashindwa¿¿??? Hata Joseph kasheku msukuma mbunge wa Geita vijijini anaweza bhana!

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Back
Top Bottom