Kumbe Prof. Mruma si mzalendo kama wengi wanavyodhani

Kumbe Prof. Mruma si mzalendo kama wengi wanavyodhani

Dawa ya Profesa ni Profesa! Kwa hiyo usitegemee kumchafua Profesa kwa post zako kama wewe siyo Profesa. Atapangua zote na kukuacha unaficha uso wako kwa aibu.
Tuliamini hivyo zamani wakati shule zilipokuwa bado moja kwa wilaya au mbili mkoa mzima ila kwa usomi wa sasa nadhani unaona kabisa kuwa uprofesa umepoteza hata hadhi yake
 
Ha
Naona kwa uoga wako imebidi uje na ID mpya. Mruma kafanya uchunguzi kaja na majibu that is science bwana hakuna longolongo.
Halafu hayo majibu yatapelekwa wapi tena, au yatasaidiaje tusiendelee kuibiwa huko ndani migodini?
 
watu wajue kumpinga profess unapaswa kuwa na data siyo poyoyo za hovyo hovyo!! Skuiz hata poyoyo std 7 anataka kumfundisha profesa kazi
 
Dawa ya Profesa ni Profesa! Kwa hiyo usitegemee kumchafua Profesa kwa post zako kama wewe siyo Profesa. Atapangua zote na kukuacha unaficha uso wako kwa aibu.
Mwambie aje Sasa apangue hoja zake, profesa Gani unasainishwa kitu bila kusoma idiot professor!

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Huyu profesa ambaye ripoti yake ya Magumashi imeleta maswali mengi, amekuwa kwenye bodi ya wakurugenzi ya Mgodi wa mwadui lakini mgodi huu umekuwa unatuibia kabla hatujapata uhuru, na ukiangalia maamuzi wanayofanya kama bodi ni wa kinyonyaji ambapo serikali in share 25% . Na kama sijakosea yeye ni mojawapo wa member wa bodi wanaoiwakilisha serikali kwenye mgodi wa MWADUI, his credibility ni questionable...
Aiseeeee jamaa yumo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umefungua Id Jana kuja kubwabwaja hapa

Mfa maji haishi kutapa tapa Mruma na timu yake wamefanya tafiti na kupima lab

Hebu wewe tupe report yako uliyoifanyia kazi ,

Mmeshikwa pagumu na bado mtafungua id mpya kila siku
Nadhani umepata matokeo ya utafiti Jana,
Prof mzima anasaini Bila kusoma hana tofauti Na wale wa KKK

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubali ukatae watu tunaoijua sekta tunashangaa haya majibu wametoa wapi kuna mawili hapa either walikosea kufanya assay au walipata majibu sahihi wakapika ripoti
Wee Jamaaa Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu na yenye baraka, Hawa maprofessor wawili osoro na mruma ni hasara kwa nchi, wanajifanya wanatoa mapovuu kuwa wazalendo kumbe huku nyuma wanatuzunguka, alafu Kuna mabwege fulani hivi kuwa wazalendo

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Angekuja na hoja yakinifu wala nisingesema ana bwajaja ila kusema ripoti ya magumashi nimeamua kumuita ana bwajaja Mruma na team yake wamefanya uchunguzi ,wamepima wamefanya lab work nilidhani angetoa critical points kupima ripoti iliyofanyiwa lab work ila kaishia kubwajaja

Huenda we ,mtoa thread mna ubia na acacia
Kwanini Mruma asingefanya kwa uyakinifu kwenye Almasi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umefungua Id Jana kuja kubwabwaja hapa

Mfa maji haishi kutapa tapa Mruma na timu yake wamefanya tafiti na kupima lab

Hebu wewe tupe report yako uliyoifanyia kazi ,

Mmeshikwa pagumu na bado mtafungua id mpya kila siku
Akiba ya maneno uwa ni muhimu sana!
 
Back
Top Bottom