Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,115
Na mda wote TBCCM walikua wanachagiza. Wanasayansi wazalendo. Wamefanya kazi kizalendo. Wameleta ripoti ya kizalendo. N.k. Kumbe wana maana yao ya uzalendo.Unajua Prof Mruma alishastaafu miaka 2 iliyopita, yuko kwa mkataba nadhani hapo GST. Hata ingekuwa mimi lazima nipambe taarifa yangu ili angalau niteiwe kuwa balozi au Mkiti mahali, chezea maprofesa wewe! Alipika taarifa ikapigika na akajitahidi kuisoma kwa hasira ili umma umuone shujaa