- Thread starter
- #61
Tena kwa makontena 277 tu,inawezekanaje mchanga kuchangua 45% ya mapato ya acacia?
Tena kwa makontena 277 tu,inawezekanaje mchanga kuchangua 45% ya mapato ya acacia?
Acha nlah blah njoo.na hoja za kisayansi dhidi ya ripoti.Kweli mkuu, inasikitisha maprofesa kudanganya watanzania kwa kiasi kile, ..tx shame kwa academicians wa kitanzania n namsifu sana muhongo na ntalikwa kukataa huu uongo
Kawaulize waliokutuma waambie tumekuuliza kuwa kama mchanga hauna gold ya kutosha inakuwaje 45% ya mapato yao yanatokea huko kwenye mchanga?Tena kwa makontena 277 tu,
Hiyo method unayotumia iko based on google? What nonsense is this?So sad 4 u, ripoti ingesomwa siku ya fools day naona ndo ungeamini umedanganywa. Shida moja hamjishughulishi hata kugoogle utabaki kukaa na ujinga wako.
Kwa hiyo kwani kwenye tume yeye peke yake ndio mtoa maagizo yote,acha kutuyumbisha sisi tunakomaa tu na mapendekezo ya tume ,hayo mengine ni porojo tuHuyu profesa ambaye ripoti yake ya Magumashi imeleta maswali mengi, amekuwa kwenye bodi ya wakurugenzi ya Mgodi wa mwadui lakini mgodi huu umekuwa unatuibia kabla hatujapata uhuru, na ukiangalia maamuzi wanayofanya kama bodi ni wa kinyonyaji ambapo serikali in share 25% . Na kama sijakosea yeye ni mojawapo wa member wa bodi wanaoiwakilisha serikali kwenye mgodi wa MWADUI, his credibility ni questionable...
Endelea kukomaa wajinga ndiyo waliwaoKwa hiyo kwani kwenye tume yeye peke yake ndio mtoa maagizo yote,acha kutuyumbisha sisi tunakomaa tu na mapendekezo ya tume ,hayo mengine ni porojo tu
Nimekuambia uanzia kugoogle upate uelewa kuhusu makinikia then urudi kwani unaonekana ni mweupe kwenye hii ishuKw
Hiyo method unayotumia iko based on google? What nonsense is this?
Makinikia ni concentrates za gold/copper. Limetokana na neno concentration, yaani umakini.Makinikia ni nini? Nimepitwa kidogo naliona sana hili neno likitumika humu
Sound too low!Nimekuambia uanzia kugoogle upate uelewa kuhusu makinikia then urudi kwani unaonekana ni mweupe kwenye hii ishu
Kwanini uulize haya baada ya Tume ya Uchunguzi kutoa matokeo yake? Kama ungekuwa unamfahamu vizuri si ungepinga pale tu alipoteuliwa ?, sasa kutujulisha kuwa Mruma eti hakidhi vigezo kwamba yeye pia siyo mwamunifu, baada ya tume yake kutoa majibu huoni unajidhihirisha jinsi ulivyo mjinga na wa ovyo na mpenda majungu? Huenda wewe ni Li-Chadema. Kwani Machadema hupinga kila kitu hata kama ni cha msingi. Wewe unaleta madai kuwa Mruma ameshiriki kwenye wizi wa Almas ya Mwadui, je kwa utafiti upi? Nani mwizi, aliiba akapeleka wapi? Uchunguzi gani uliogundua wizi huo? Matokeo ya wizi huo yalitoka lini? Nani mwenyekiti wake wa uchunguzi huo? Ilikabidhiwa kwa nani report hiyo? Jibu maswali haya ndipo tuamini kuwa wewe siyo mpenda Majungu.Huyu profesa ambaye ripoti yake ya Magumashi imeleta maswali mengi, amekuwa kwenye bodi ya wakurugenzi ya Mgodi wa mwadui lakini mgodi huu umekuwa unatuibia kabla hatujapata uhuru, na ukiangalia maamuzi wanayofanya kama bodi ni wa kinyonyaji ambapo serikali in share 25% . Na kama sijakosea yeye ni mojawapo wa member wa bodi wanaoiwakilisha serikali kwenye mgodi wa MWADUI, his credibility ni questionable...
Na kama sijakosea yeye ni mojawapo wa member wa bodi wanaoiwakilisha serikali kwenye mgodi wa MWADUI,
Na ile ya mwakyembe mlisemaje vilee?Unajua Prof Mruma alishastaafu miaka 2 iliyopita, yuko kwa mkataba nadhani hapo GST. Hata ingekuwa mimi lazima nipambe taarifa yangu ili angalau niteiwe kuwa balozi au Mkiti mahali, chezea maprofesa wewe! Alipika taarifa ikapigika na akajitahidi kuisoma kwa hasira ili umma umuone shujaa
kwanini unaharibu jf kwa kufungua mi id kila leo?Huyu profesa ambaye ripoti yake ya Magumashi imeleta maswali mengi, amekuwa kwenye bodi ya wakurugenzi ya Mgodi wa mwadui lakini mgodi huu umekuwa unatuibia kabla hatujapata uhuru, na ukiangalia maamuzi wanayofanya kama bodi ni wa kinyonyaji ambapo serikali in share 25% . Na kama sijakosea yeye ni mojawapo wa member wa bodi wanaoiwakilisha serikali kwenye mgodi wa MWADUI, his credibility ni questionable...
Wee Kama biashara yako ya mchanga imekorogeka kaa kimya, usiyuletee umbea hapa !Huyu profesa ambaye ripoti yake ya Magumashi imeleta maswali mengi, amekuwa kwenye bodi ya wakurugenzi ya Mgodi wa mwadui lakini mgodi huu umekuwa unatuibia kabla hatujapata uhuru, na ukiangalia maamuzi wanayofanya kama bodi ni wa kinyonyaji ambapo serikali in share 25% . Na kama sijakosea yeye ni mojawapo wa member wa bodi wanaoiwakilisha serikali kwenye mgodi wa MWADUI, his credibility ni questionable...
Wewe umejuaje kama mwalifu inakuibia?Huyu profesa ambaye ripoti yake ya Magumashi imeleta maswali mengi, amekuwa kwenye bodi ya wakurugenzi ya Mgodi wa mwadui lakini mgodi huu umekuwa unatuibia kabla hatujapata uhuru, na ukiangalia maamuzi wanayofanya kama bodi ni wa kinyonyaji ambapo serikali in share 25% . Na kama sijakosea yeye ni mojawapo wa member wa bodi wanaoiwakilisha serikali kwenye mgodi wa MWADUI, his credibility ni questionable...
Ile hali ya kukazia fikra kwenye jambo moja ili ulifanye kwa uMAKINI.Makinikia ni nini? Nimepitwa kidogo naliona sana hili neno likitumika humu
Majibu ambayo ni questionable.Naona kwa uoga wako imebidi uje na ID mpya. Mruma kafanya uchunguzi kaja na majibu that is science bwana hakuna longolongo.
Hamkosagi la kusema na mmeamua kumchafua MRUMA: HAMTAFANIKIWAHuyu profesa ambaye ripoti yake ya Magumashi imeleta maswali mengi, amekuwa kwenye bodi ya wakurugenzi ya Mgodi wa mwadui lakini mgodi huu umekuwa unatuibia kabla hatujapata uhuru, na ukiangalia maamuzi wanayofanya kama bodi ni wa kinyonyaji ambapo serikali in share 25% . Na kama sijakosea yeye ni mojawapo wa member wa bodi wanaoiwakilisha serikali kwenye mgodi wa MWADUI, his credibility ni questionable...