Kumbe nyie ndo Mnatumaliza Nguvu za Kiume kwa Makusudi. Nimeumia sana

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,360
11,514
Dada anasema amezaa na mumewe mtoto mmoja. Akapata kakijana mchepuko aka-fall in love nako. Baadaye akapata wazo kuwa asababishe kuvunjika kwa ndoa ili abaki na kakijana mchepuko.

Wakapanga wamwekee dawa ya kuua nguvu za kiume mumewe. Akafanya hivyo. Mume miaka 3 mashine haisimami. Si kwa ku boost si kwa kushikiriwa si kwa support. Imelala. Then mke akaanzisha chokochoko... "Sipewi unyumba, mume jongoo hapandi mtungi"

Baadaye anakuja gundua kakijana kana mwanamke mwingine. Mwanamke ambako ndo kanasema size yake na mwenye mapenzi naye. Huyu of course milage imesoma sana. Yaani ni kama ulikuwa unatumia land rover 109 sababu ndo gari ambayo ilikuwa kwenye uwezo wako.

Sasa unakuja kupata Toyota Harrier au Rav 4. Unasemaje? Unaachana na hiyo Land Rover yako 109 unachukua mchuma wa kisasa unaoendana na maisha ya sasa.

Wanawake sisi wanaume jamani tunarogwa kila sehemu. Mtuonee huruma hata kwa mbali. Tunarogwa na wake zetu, tunarogwa na michepuko, tunarogwa na wadada wa kazi, tunarogwa na mama ntilie, tunarogwa makazini. Nguvu za kiume tutatoa wapi? Muwe na huruma jamani na sisi ni binadamu.

Sikiliza mwenyewe kwenye video husika.

 
Dada anasema amezaa na mumewe mtoto mmoja. Akapata kakijana mchepuko aka fall in love nako. Baadaye akapata wazo kuwa asababishe kuvunjika kwa ndoa ili abaki na kakijana mchepuko.

Wakapanga wamwekee dawa ya kuua nguvu za kiume mumewe. Akafanya hivyo. Mume miaka 3 mashine haisimami. Si kwa ku boost si kwa kushikiriwa si kwa support. Imelala. Then mke akaanzisha chokochoko... "Sipewi unyumba, mume jongoo hapandi mtungi"

Baadaye anakuja gundua kakijana kana mwanamke mwingine. Mwanamke ambako ndo kanasema size yake na mwenye mapenzi naye. Huyu of course milage imesoma sana. Yaani ni kama ulikuwa unatumia land rover 109 sababu ndo gari ambayo ilikuwa kwenye uwezo wako.

Sasa unakuja kupata Toyota Harrier au Rav 4..... Unasemaje?unaachana na hiyo Land Rover yako 109 unachukua mchuma wa kisasa...unaoendana na maisha ya sasa.

Wanawake sisi wanaume tunarogwa kila sehemu. Mtuonee huruma jamani. Tunarogwa na wake, tunarogwa na michepuko, tunarogwa na wadada wa kazi, tunarogwa na mama ntilie,tunarogwa makazini...nguvu za kiume tutatoa wapi? Muwe na huruma jamani na sisi ni binadamu.

Sikiliza mwenyewe kwenye video husika.

Acha kulalamika. Kuoa sio lazima. Usione watu hawajaoa ukawaona wajinga au ukawasema vibaya. Ni ujinga kwa mwanaume kuweka uhai wako mikononi mwa mwanamke. Mwanamke akili yake mara nyingi ni ya kuambiwa. Wanawake huwa wanazingatia sana kuwa watu wengine wanasemaje. Hakuna mwanamke mwenye akili yake mwenyewe yeye kama yeye.
 
Mkuu, tuachane na Mada! Mimi ukiniwekea hapo Harrier Hybrid na Land Rover 109.. huwezi kuamini, mimi nitakuchua 109..... labda mimi ni Mzee, lakini siwezi kuprefer Harrier mbele ya 109...
 
Back
Top Bottom