Ha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
umenikumbusha maiti basha... Hii maiti haikuwa na ndugu ilikaa mochwari mpaka tukawapa manispaa waizike.. Ilikuwa ukiiweka na maiti zingine unaikuta tayari iko mgongoni mwa mtu.. Hafu ilikuwa haioni haya

Ni kweli mkuu. Wapumzike kwa amanimkuu nikweli wamefariki hawa duuu, WAPUMZIKE KWA AMANI
Weka haraka sana![]()
![]()
![]()
unataka ushahidi wa picha?
Masihara...RIP Pdidy
Doh! ALLAH awastiri Ibra87 kama naona mishango yake maskini.Wapumzike kwa amani
Regia Mrema
Dena Amsi
Chetuntu
Dotto
Ibra87
Na wanaJF wengine wote waliotutangulia
kuna watu wanawasiliana inbox kibiashara humu yaweza kuwa njia mojawapoNami nasubili jibu hapa..
Morogoro nako kuna Kididimo?Kididimo ya morogoro ama?
Ngoja nikiingia shiftWeka haraka sana
R.I.PWapumzike kwa amani
Regia Mrema
Dena Amsi
Chetuntu
Dotto
Ibra87
Na wanaJF wengine wote waliotutangulia
HahaaasNdo ujitahidi sasa... nisipokuona hapa wiki moja natangaza msiba. Unless uniambie kuwa unapumzika kiduchu. Ila mi nikiRIP haitapita nusu saa utajua babu kashatangulia mbele ya haki
Kwa kumwamini mtu mmoja na kumwambia id yako. Ukitangulia mbele ya haki atajulisha tulio salia.How would you know if I die????

Stori za kusadikikaHa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
umenikumbusha maiti basha... Hii maiti haikuwa na ndugu ilikaa mochwari mpaka tukawapa manispaa waizike.. Ilikuwa ukiiweka na maiti zingine unaikuta tayari iko mgongoni mwa mtu.. Hafu ilikuwa haioni haya