Emaroli
Senior Member
- Oct 28, 2014
- 160
- 144
Mungu awalaze mahala Pema peponiWapumzike kwa amani
Regia Mrema
Dena Amsi
Chetuntu
Dotto
Ibra87
Na wanaJF wengine wote waliotutangulia
Mungu awalaze mahala Pema peponiWapumzike kwa amani
Regia Mrema
Dena Amsi
Chetuntu
Dotto
Ibra87
Na wanaJF wengine wote waliotutangulia
Pole sana. Alikuwa gentleman sana... ajali ikayachukua maisha yake ghafla!BABU HAPO ULIPOMTAJA DOTTO NDO UMENIHUZUNISHA SANA ALIKUWA RAFIKI WA KARIBU SANA HUYU YAANI NIMELIA SANA HAPA DUUUU JAMANI
WAPUMZIKE KWA AMANI WOTE WANA-JF WALIOTUTANGULIA ILA INALETA PAIN SANA
He Ibra 87 naye alifariki, jamani may his soul Rest In Peace. Si alikuwa Kigamboni kama sikosei!Wapumzike kwa amani
Regia Mrema
Dena Amsi
Chetuntu
Dotto
Ibra87
Na wanaJF wengine wote waliotutangulia
Yeah... RIPHe Ibra 87 naye alifariki, jamani may his soul Rest In Peace. Si alikuwa Kigamboni kama sikosei!
Jamanii weweRip Heaven on Earth![]()
Wewe??Rip Heaven on Earth![]()
raha ya milele?Kiukweli nikiona Id imeandikwa RIP huwa machozi yananitoka na kufikiria mbali sana.
Roho fulani hivi huwa inanijia.
Mungu uwape raha ya milele member wote waliofariki lakini hatukupata taarifa.
Nilikuwa sijui, kumbe I'd ya RIP sio mwenzetu!!, umenifumbua machoKiukweli nikiona Id imeandikwa RIP huwa machozi yananitoka na kufikiria mbali sana.
Roho fulani hivi huwa inanijia.
Mungu uwape raha ya milele member wote waliofariki lakini hatukupata taarifa.
Wote hawa ni mwaka jana?Wapumzike kwa amani
Regia Mrema
Dena Amsi
Chetuntu
Dotto
Ibra87
Mohammed Mtoi
Na wanaJF wengine wote waliotutangulia
He Ibra 87 naye alifariki, jamani may his soul Rest In Peace. Si alikuwa Kigamboni kama sikosei!
Wote hawa ni mwaka jana?
Wapumzike kwa amani
Regia Mrema
Dena Amsi
Chetuntu
Dotto
Ibra87
Mohammed Mtoi
Na wanaJF wengine wote waliotutangulia
Jamaniii katoa wapi hayaWewe??
Heaven on Earth?acha mzaha
Hivi jf inaweza ikawa na watumiaji hata million 1duuh umejuaje lakn.....??? Apumzike kwa aman if ts true.
Though am sure humu jf tunaondokewa members kwa vifo kila siku
Aliyoiweka hiyo status ni naniNilikuwa nafuatilia Uzi mmoja nikakuta Status ya RIP.
Nime-attach Last post yake September 11, 2017