Acha kuchulia watu.Rip Heaven on Earth[emoji24]
Pumzikeni kwa amani member mlio tangulia mbele za haki..
Mimi nikifa nitapotea kimya kimya hakuna anayenifahamuMembers wengi hapa pamoja na kutumia ID fake lakini wanafahamiana physically. Kama hapa huna anayekufahamu nje ya ID ya JF then ukifa unapotea kimyakimya...
Hahahaaaaa!!!Babu kwa kukamatia fursa hujamboUpendo ni pamoja na kutonyimana...
Taratibu kijana utaniharibia fursaHahahaaaaa!!!Babu kwa kukamatia fursa hujambo
Na kwanini umeamua kujificha watu wasikujue? We ni mgomvi au mwizi?Mimi nikifa nitapotea kimya kimya hakuna anayenifahamu
Yerewiiiiii huyo atakuwa mpemba au??Ha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenikumbusha maiti basha... Hii maiti haikuwa na ndugu ilikaa mochwari mpaka tukawapa manispaa waizike.. Ilikuwa ukiiweka na maiti zingine unaikuta tayari iko mgongoni mwa mtu.. Hafu ilikuwa haioni haya
Hahahaaaaa!!!Taratibu kijana utaniharibia fursa
Kule jukwaa la siasa ndiyo kunanifanya nisitake kujulikana maana huwa naharibu sanaNa kwanini umeamua kujificha watu wasikujue? We ni mgomvi au mwizi?
Members wengi hapa pamoja na kutumia ID fake lakini wanafahamiana physically. Kama hapa huna anayekufahamu nje ya ID ya JF then ukifa unapotea kimyakimya...
Asante sana babu nafanyia kazi ushauri wako nitafungua ID mpya tena ni verified userUnapaswa uwe na ID mbili kama mimi. Moja ya kusoshalaiz na nyingine ya kufanyia undava kule jukwaa la matusi
Ha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenikumbusha maiti basha... Hii maiti haikuwa na ndugu ilikaa mochwari mpaka tukawapa manispaa waizike.. Ilikuwa ukiiweka na maiti zingine unaikuta tayari iko mgongoni mwa mtu.. Hafu ilikuwa haioni haya
BABU HAPO ULIPOMTAJA DOTTO NDO UMENIHUZUNISHA SANA ALIKUWA RAFIKI WA KARIBU SANA HUYU YAANI NIMELIA SANA HAPA DUUUU JAMANIWapumzike kwa amani
Regia Mrema
Dena Amsi
Chetuntu
Dotto
Ibra87
Na wanaJF wengine wote waliotutangulia
KABISA PASTOR MAANA HAO WATAMNUONA MUNGUHeri wafu wafao katika BWANA