Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,401
RIP mchukia fisadiBila kumsahau Mchukia Fisadi.
Vv
RIP mchukia fisadiBila kumsahau Mchukia Fisadi.
Vv
Mi najua unachopenda. Ndo maana nakukwepa sanaHakuna kitu sipendi kukichukia kama![]()
Mi najua unachopenda. Ndo maana nakukwepa sana
jumamosi nakuja huko tukunywe lubisi woteIna maana unakipenda?Hakuna kitu sipendi kukichukia kama![]()
Juzi nilienda mochware kuchukua mwili wa marehemu baba mkwe wangu... nikakuta kwenye kabati moja jamaa kaweka maiti mbili... nikajikuta nakukumbuka kimoyomoyo.![]()
![]()
![]()
jumamosi nakuja huko tukunywe lubisi wote
Heri wafu wafao katika BWANA
HaJuzi nilienda mochware kuchukua mwili wa marehemu baba mkwe wangu... nikakuta kwenye kabati moja jamaa kaweka maiti mbili... nikajikuta nakukumbuka kimoyomoyo.
Hivi mochware maiti za Ke na Me zinazwekwa sehemu tofauti? Kwanini?
Hata usiponijibu poa tu. Kwanza utakuwa umenisaidia sana
umenikumbusha maiti basha... Hii maiti haikuwa na ndugu ilikaa mochwari mpaka tukawapa manispaa waizike.. Ilikuwa ukiiweka na maiti zingine unaikuta tayari iko mgongoni mwa mtu.. Hafu ilikuwa haioni hayaSawa babu.Siwezi kuyasema hapa msibani. Tutayazungumza chemba ukifika salama
Hii fix haijanibariki....Ha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
umenikumbusha maiti basha... Hii maiti haikuwa na ndugu ilikaa mochwari mpaka tukawapa manispaa waizike.. Ilikuwa ukiiweka na maiti zingine unaikuta tayari iko mgongoni mwa mtu.. Hafu ilikuwa haioni haya
Dah umenifanya nilengwe na machozi, niwe mkweli hakuna mwaJF aliyeniuma kama huyu Mama.
pole kwa familia na jamiiorum members woteWadau nimestushwa sana usiku huu kwa kugundua Maana JF mwenzetu [HASHTAG]#MwanaHaki[/HASHTAG] amefariki, nini kilimtokea? Je kulikuwepo na TANZIA yoyote.? Nimeweka Post yake ya mwisho hapa.View attachment 749590
Mohamed MtoiWapumzike kwa amani
Regia Mrema
Dena Amsi
Chetuntu
Dotto
Ibra87
Na wanaJF wengine wote waliotutangulia
mkuu nikweli wamefariki hawa duuu, WAPUMZIKE KWA AMANIWapumzike kwa amani
Regia Mrema
Dena Amsi
Chetuntu
Dotto
Ibra87
Na wanaJF wengine wote waliotutangulia
Kididimo ya morogoro ama?Mfano mimi Kididimo, niko Kididimo na wanaKididimo wananifahamu vizuri.