Kumbe MwanaHaki wa JF alishafariki?

Kumbe MwanaHaki wa JF alishafariki?

Ndo ujitahidi sasa... nisipokuona hapa wiki moja natangaza msiba. Unless uniambie kuwa unapumzika kiduchu. Ila mi nikiRIP haitapita nusu saa utajua babu kashatangulia mbele ya haki
Hahaaa. Itabidi nijitahidi kama usemavyo Babu.

Pia unipe siri Babu na mie niifanyie kazi ili ikitokea kwangu basi na mie nusu saa watu wawe washajua.
 
Members wengi hapa pamoja na kutumia ID fake lakini wanafahamiana physically. Kama hapa huna anayekufahamu nje ya ID ya JF then ukifa unapotea kimyakimya...
Mfano mimi Kididimo, niko Kididimo na wanaKididimo wananifahamu vizuri.
 
Back
Top Bottom