Kumbe MwanaHaki wa JF alishafariki?

Kumbe MwanaHaki wa JF alishafariki?

Yaani hapa JF, japokuwa tunatumia ID fake ila kuna umuhimu wa kutambuana hata watu wawili wawili inatosha.

Kiukweli pia ni ngumu kuaminiana pia, maana huwezijua yupi mwema na yupi mbaya! Hapa ndipo pagumu.
(Unaweza kuweka urafiki na mtu wa Boko Haram au Alshabab wa Tz)

Naamini kuna watu, tunawapoteza bila hata kujua.

Mungu awaweke mahala wanapostahili.
 
Rest In Peace
Dena Amsi

IMG_0983.JPG
 
Back
Top Bottom