Kuna kitu hakipo sawa mahali. Mimi nineikuta na dot ya kijani lakini nikaambiwa ni kawaida ktk app huonekana hivyo. Lakini mbona mwingine asipokuwepo online hiyo dot haionekani.Hiyo account ya ibra87 kuna mtu anaendelea kuitumia ama ni ubongo wangu ulivurugwa mana nahisi jana niliona hiyo account ikiwa online,nilishtuka kidogo ila cjataka kuwazua sana nikapita tu
Sent using Jamii Forums mobile app
No Dot ya kijani inakuonesha wewe unayeangalia hiyo profile na sio kwamba mhusika yupo active.Ile ID ya Ibra inatumika, Asubuhi ilikuwa active. Dot ya kijani ilikuwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiweka true ID unakufa, bora tukife watuzike na simu zetu tuendelee kuchat JF hadi kaburiniYaani hapa JF, japokuwa tunatumia ID fake ila kuna umuhimu wa kutambuana hata watu wawili wawili inatosha.
Kiukweli pia ni ngumu kuaminiana pia, maana huwezijua yupi mwema na yupi mbaya! Hapa ndipo pagumu.
(Unaweza kuweka urafiki na mtu wa Boko Haram au Alshabab wa Tz)
Naamini kuna watu, tunawapoteza bila hata kujua.
Mungu awaweke mahala wanapostahili.
Members wengi hapa pamoja na kutumia ID fake lakini wanafahamiana physically. Kama hapa huna anayekufahamu nje ya ID ya JF then ukifa unapotea kimyakimya...
Pole sana. Uzuri utazikwa kama binadamu wengine. Sio big deal kiviiileBinafsi sifahamiani na member yeyote humu jamvini, ina maana siku Nikifa nitapotea tu kama mbwa!!!!
Hapana. Kwa mfano sasa hivi ni saa 1:04 PM jumapili tarehe 6.01.2019 hii id yako haina dot maana yake hauko online.Ile ID ya Ibra inatumika, Asubuhi ilikuwa active. Dot ya kijani ilikuwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpka wafanyakazi waandamane kwanzaNgoja nijuane na niwe rafiki watu 5 wa jf ili nikifa waje watoe taarifa
Sent using Jamii Forums mobile app