Kumbe Mosul ndio ile Ninawi/Nineveh ya Yonah

Kumbe Mosul ndio ile Ninawi/Nineveh ya Yonah

kwani yunus alivoingia Chaka akamezwa na samaki,si alitubu?si alitapikwa?si alirudi kuwalingania waja?Au unaamanisha alikula chocho mazima?
Yona = Yunus
Job = Ayub
Joseph = Yusufu
Solomon = Suleiman/Seleman
Moses = Musa
Yesu = Issa
Mary/Maria = Mariam
Eva = Hawa
Adam = ??
Peter = ??
Simon = ??
David = ?!

Interesting!
 
Bustan ya Eden ilikua Iraq mzee... Mashariki mwa nchi hyo
Sasa wanyama wote wale waliotajwa kuwa walikuwa kwenye hiyo bustani mbona now hawapo huko Iraq...wengi wapi Africa zaidi. Au walitembea mpk huku
 
Sasa wanyama wote wale waliotajwa kuwa walikuwa kwenye hiyo bustani mbona now hawapo huko Iraq...wengi wapi Africa zaidi. Au walitembea mpk huku
Jibu la swali lako ni NDIO,Kutokana na HISTORY OF THE WORLD hasa kwenye kipengele cha Neolithic Revolution inaelezea jinsi wanyama na binadamu walivyo kuwa wana shift hasa kipindi cha Catastrophic ambapo kulikuwa na climate change during the period of Pleistocene between (30000 - 1500 Before common error(BC'E'). Japo kuna baadhi ya theory na sababu ambazo maanthropologist wamezitoa kuelezea hiyo kitu ambazo zinaoneka wazi km ni conspiracy theories.
 
Yona = Yunus
Job = Ayub
Joseph = Yusufu
Solomon = Suleiman/Seleman
Moses = Musa
Yesu = Issa
Mary/Maria = Mariam
Eva = Hawa
Adam = ??
Peter = ??
Simon = ??
David = ?!

Interesting!
Adam=Adamu
Peter= Petro
Simon= Simeoni
David= Daudi

Interesting!
 
Wewe Jiwekuu acha zako bhana,mambo ya kulana Tigo au Tigolization imeanzia mkoa wa Mara,yaani kule kwetu Rorya na Kyabakari,weeeee vipi?,acha kuharibu historia bhana,kwani umesahau huu msemo"SASA UNAINGIA MKOA WA MARA"au vipi?,huko kuna wanaume tunakula kichuri cha ng"ombe au mbuzi,kwa hiyo ni kupasua tu mifereji kwa kwenda mbere weye.
Eehh kumbe huko kwenu ndo laana ya 071.... Ilianzia ndo maana vita ya mapanga na visasi haiishi!! Serikari ishaanyosha mikono huko[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Jibu la swali lako ni NDIO,Kutokana na HISTORY OF THE WORLD hasa kwenye kipengele cha Neolithic Revolution inaelezea jinsi wanyama na binadamu walivyo kuwa wana shift hasa kipindi cha Catastrophic ambapo kulikuwa na climate change during the period of Pleistocene between (30000 - 1500 Before common error(BC'E'). Japo kuna baadhi ya theory na sababu ambazo maanthropologist wamezitoa kuelezea hiyo kitu ambazo zinaoneka wazi km ni conspiracy theories.
Mbona mnkataa wanasayansi wanaosema Mtu wa mwanzo alitoka Africa kwamba wanasayansi hawaaamin Mungu but halo juu hunijibu why now Iraq hakuna hao wanyama waliosemwa kipindi hiko umerudi kwenye theory za wanasayansi hao hao!!
Ina maana hata na madini yaliyotajwa kuwepo hapo yalihama pia!?? Mpk Africa
 
Pamoja na mada hii kuwa nzuri yenye mafundisho mengi, bado kuna watu wanaendelea kutoamini biblia ama ukristo na KRISTO mwenyewe!
 
Huwa nawaza kipindi hicho Africa kulikuwa na nini kinaendelea maana habari zote zinatokea eneo moja huko nchi za kiarabu na nyinginezo karibu.
 
Pamoja na mada hii kuwa nzuri yenye mafundisho mengi, bado kuna watu wanaendelea kutoamini biblia ama ukristo na KRISTO mwenyewe!
Halafu kuna mijitu humu inaandika ukuda ukuda kwenye thread yenye mafundisho kama hii,sijui kwenye ubongo wao kuna nn.
 
The Boss yupo sahihi, historia tunayo fundishwa ni ya uongo ili tuendelee kujiona ni watu dhalili. Lakini ukweli ni kwamba binadamu wa kwanza walikuwa watu weusi
na hata taifa halisi la wana wa Israel walikuwa weusi na hata Wamisri wa kale nao walikuwa weusi na waliandika kwamba walitoka katika nchi ya chanzo cha mto nile katika mlima wa mbalamwezi ( mountain of the moon) hata lugha iliyo andikwa katika mapyramid inashabihiana na lugha za waafrika weusi. Pia uchunguzi uliofanyika hivi karibuni wa vinasaba vya mafarao umeonyesha kufanana na watu East Afrika.
Ukisoma kitabu cha Henoko. (The book of Enock) utaona jinsi mzee Nuhu alivyo shangaa baada ya kuzaliwa mtoto mweupe kwenye familia yake, jiulize ikiwa Nuhu alikuwa mweupe iweje ashangae kuzaliwa mtoto mweupe? Jibu ni kwamba alikuwa mweusi
Hoja nyingine, ikiwa wamisri wa kale walikuwa weusi, na wa Israel tunaaminishwa ni weupe walishindwa vipi kumtambua Musa kwamba si wa uzao wao?
 
Na vile Binadamu aliumbwa kwa udongo kuna ka ukweli alikuwa mweusi ki namna
 
Back
Top Bottom