Kumbe Mosul ndio ile Ninawi/Nineveh ya Yonah

Kumbe Mosul ndio ile Ninawi/Nineveh ya Yonah

Ina semekana binadam wa kwanza aliishi East Africa...
Hivyo inawezekana bustan ya edeni ilikua hapa nchi.... Teena maeneo ya dodoma.. Maana yamekaa tambarare sana
 
Mzuka Wanajamvi,

Kama mnavyojua vita kali inaendelea huko Iraq kuwaondoa wahuni wa ISIS Mosul. Lakini jambo la kufurahisha nimekuja kugundua huu mji wa Mosul ndio hule Yona alitumwa na Mungu kupeleka neno akala kona na kuingia chaka. Ikabidi atupwe baharini na kumezwa na nyangumi. Nadhani story mnahifahamu.

Kumbe pia Ayubu ama Job alikuwa MuOmani ama Myemeni kaburi lake hadi leo liko kati ya Yemen Na Oman.

Kumbe Pilato alikuwa Mfaransa (Gaul) ambalo lilikuwa jimbo la Kirumi.

Wale mamajusi waliompelekea mwokozi wetu zawadi walikuwa wakirudi maeneo ya Tikrit Iraq.

Sodoma na Gomorrah ilikuwa ndio Syria.

Jezebel alikuwa Mlebanoni (Phoenician) kutoka mji wa Sidon ambapo sasa hivi Hezbollah wamejikita.

Mke wa Musa Zipporah alikuwa Muafrika kutoka Ethiopia.

Nilikuwa najiuliza Uislam ulifikaje hizi nchi Malasyia, Indonesia na Brunei kumbe ni Otoman Waturuki waliufikisha huko Ata mji wa Aceh ni kituruki.
Ni kwel?
 
Watesi wetu wametupora kila kitu chetu,
Wamepora utambulisho wetu
Wamepora maarifa yetu
Wapora dini yetu,
Mpaka sasa wanaendelea kupora mali zetu,
Wametufanya tujione dhalili tusio na thamani yoyote
Leo hii ukijaribu kumueleza muafrika kwamba alikuwa ni mtu mwenye nguvu na maarifa ya kutosha, unaonekana kituko.
Kwa wasomaji wa Biblia, wasome kitabu cha kumbukumbu la torati(Deuteronomy) sura ya 28 yote kisha mtafakari.
 
Bustani ya Eden inaelezwa ulikuwa na kila aina ya madini but navyiona Iraq ya sasa haina hivyo vikolombwezo vyote sehemunl pekee iliyobaki na kila aina ya madini na wanyawa Ni Africa. Au Mungu aliwahamishia huku??
Eden was in the eastern region of Africa. Not anywhere else.
 
Itakuwa in Ucraine,mashariki ya ulaya kwa akina Shevchenko na huyu bondia aliyepigwa juzi
Kirene ni mji uliokuwepo Afrika, katika nchi ya Libya ya sasa karibu na mji wa Shahhat, palikuwa na chuo kikuu cha filosofia
 
Mzuka Wanajamvi,

Kama mnavyojua vita kali inaendelea huko Iraq kuwaondoa wahuni wa ISIS Mosul. Lakini jambo la kufurahisha nimekuja kugundua huu mji wa Mosul ndio hule Yona alitumwa na Mungu kupeleka neno akala kona na kuingia chaka. Ikabidi atupwe baharini na kumezwa na nyangumi. Nadhani story mnahifahamu.

Kumbe pia Ayubu ama Job alikuwa MuOmani ama Myemeni kaburi lake hadi leo liko kati ya Yemen Na Oman.

Kumbe Pilato alikuwa Mfaransa (Gaul) ambalo lilikuwa jimbo la Kirumi.

Wale mamajusi waliompelekea mwokozi wetu zawadi walikuwa wakurdi maeneo ya Tikrit Iraq.

Sodoma na Gomorrah ilikuwa ndio Syria.

Jezebel alikuwa Mlebanoni (Phoenician) kutoka mji wa Sidon ambapo sasa hivi Hezbollah wamejikita.

Mke wa Musa Zipporah alikuwa Muafrika kutoka Ethiopia.

Nilikuwa najiuliza Uislam ulifikaje hizi nchi Malasyia, Indonesia na Brunei kumbe ni Otoman Waturuki waliufikisha huko Ata mji wa Aceh ni kituruki.
 
hahaha alitibu mkuu. Inaomekana alipenda sana kuendekeza starehe. Ila alivyotapikwa naskia alishusha neno kichizi. Sasa sijui nani Sasa hivi anaweza kuwa Na ujasir wa Yona kwenda Mosul ama Raqqah kuhubiri injili
Wakazi wa huko walikuwa wapinda sana tangu kutambo, ndio maana msela aliingia chocho. lkn hata alivyopelekwa kwa nguvu na kuanza kumwaga gospal bado alikuwa ana mmaindi sir god eti nilijua tu kuwa ungewasamehe, yeye alita sir God atembeze kichapo cha haja[emoji23] [emoji23]
 
Sodom na gomorah ni miji ilikuwa karibu na dead sea,
inasemekana miaka mingi nyuma miji hiyo iliharibiwa na tetemeko la ardhi pamoja na volcano iliyorusha lava,mapande ya moto na kuiharibu miji hiyo miwili ,haiwezi kuwa syria,kwani syria ni mbali mno toka dead sea
Una akili mingi....wacha wadanganyane...
 
The Boss yupo sahihi, historia tunayo fundishwa ni ya uongo ili tuendelee kujiona ni watu dhalili. Lakini ukweli ni kwamba binadamu wa kwanza walikuwa watu weusi
na hata taifa halisi la wana wa Israel walikuwa weusi na hata Wamisri wa kale nao walikuwa weusi na waliandika kwamba walitoka katika nchi ya chanzo cha mto nile katika mlima wa mbalamwezi ( mountain of the moon) hata lugha iliyo andikwa katika mapyramid inashabihiana na lugha za waafrika weusi. Pia uchunguzi uliofanyika hivi karibuni wa vinasaba vya mafarao umeonyesha kufanana na watu East Afrika.
Ukisoma kitabu cha Henoko. (The book of Enock) utaona jinsi mzee Nuhu alivyo shangaa baada ya kuzaliwa mtoto mweupe kwenye familia yake, jiulize ikiwa Nuhu alikuwa mweupe iweje ashangae kuzaliwa mtoto mweupe? Jibu ni kwamba alikuwa mweusi
Hoja nyingine, ikiwa wamisri wa kale walikuwa weusi, na wa Israel tunaaminishwa ni weupe walishindwa vipi kumtambua Musa kwamba si wa uzao wao?
we jamaa unajua vitu aisee,embu endelea kutumwagia udambwi dambwi
 
Back
Top Bottom