johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Nilidhani yale majina ya Wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.
Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk.
Ni kama vile BAWACHA imehamia Bungeni.
Hongereni akina Mama wa CHADEMA kwa kujipendelea.
Maendeleo hayana vyama!
Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk.
Ni kama vile BAWACHA imehamia Bungeni.
Hongereni akina Mama wa CHADEMA kwa kujipendelea.
Maendeleo hayana vyama!