Hata asipokuwepo Katibu Mkuu?Je,walikutania wapi,lini na wajumbe waliohudhuria.Sheria za Uchaguzi zilizingatiwa?Mbowe akikaa na hao viongozi 19 wabunge wateule ambao wote ni wajumbe wa CC na kufanya maamuzi hicho ni kikao halali!
Hata asipokuwepo Katibu Mkuu?Je,walikutania wapi,lini na wajumbe waliohudhuria.Sheria za Uchaguzi zilizingatiwa?Mbowe akikaa na hao viongozi 19 wabunge wateule ambao wote ni wajumbe wa CC na kufanya maamuzi hicho ni kikao halali!
Ni kweli na unaamini CCM ni wehu? Haya wanatuchezesha chakacha mchana kweupe Mjini Posta . Tukiwaheshimu tutajua jinsi ya kuwa kabili na silaha za kisiasa zinazo stahiki.Hela za wafadhili zenye masharti ya wapinzani kuwa wenyeviti na wajumbe wa kamati za PAC , LAAC na ile ya mashirika ya umma ndio zimewaehusha hivi ? Nyinyi si dona kantri ? , Mpaka mnaenda kutoa watu jela usiku wa manane na kumsafirisha toka Singida mpaka Dodoma kwa gharama zenu? Kila siku huwa nawaambia CCM ni wehu mnakataa ? Mnaona Sasa mnavyojidhalilisha . Mkaenda kumtoa na Salome Makamba jela si mlisema amechoma nyumba ya afisa kipeuo uchwara wenu Patrobas Katambi ? Kesi imeisha? Bipolar disorder ugonjwa mbaya sana .
Ulitaka wapeleke jina la nani? Joyce Mukya?Nilidhani yale majina ya Wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.
Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk.
Ni kama vile BAWACHA imehamia Bungeni.
Hongereni akina Mama wa CHADEMA kwa kujipendelea.
Maendeleo hayana vyama!