Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
Kusema tu "itakuwa" kilikaa haitoshi kabisa kwa sababu mtu yoyote hata mtoto wa chekechea anaweza kujisemea tu kuwa "itakuwa kilikaa".Neno "itakuwa kilikaa" haliakisi kuwa ni fact wala haliakisi kuwa ni kweli kuwa kikao hicho kilikaa kwa sababu ni neno ambalo unaweza kulitamka tu kadri unavyojisikia ila mradi uwe umejibu swali,ila mradi uwe umechangia hoja na ila mradi uwe umemuepuka muuliza swali.Cha maana hapa na cha msingi sana hapa ni kuthibitisha kuwa kikao hicho kilikaa.Katika dunia hii ya sayansi na teknolojia itakuwa kilikaa maana hao wabunge wateule wote ni wajumbe wa kamati kuu!
Unaweza kuthibitisha kuwa kikao hicho kilikaa?