wewe unaonyesha kiasi gani umechanganyikiwa soma thread nzima kwanza.mmeshaanza kuchanganyikiwa mapema hivi?
mnafik,-mnafiki
wakutheri-walutheri
yyatakuwa-yatakuwa
kawwaida-kawaida
Hii inaonyesha kiasi gani ccm mmepaniki sasa mbona mnahangaika na mambo ya #UKAWA kuliko ya ccm?
TANZANIA MPYA INAKUJA CHINI RAISI MTARAJIWA EDWARD LOWASA KIPENZI CHA WATANZANIA .Huko shuleni unaendaga kusomea ujinga.?
Naama, lazima ukate tamaa, maana sasa mshaanza kuongelea kuibiwa kura. Mnataafuta pakutokea.
Aliyelaaniwa ni yule anaewagawa watu badala ya kuwaunganisha - kumbuka hilo.
Inasikitisha sana.
Si muda mrefu uliopita ilikuwa ni kawaida kusoma humu JF na kusikia kauli za "ukombozi" kutoka kwa baadhi ya watu.
Mimi, kupitia hii hii JF nikasema hiyo ni kauli aliyoitumia Luther alipokuwa anajitenga na RC.
Haikupita muda Mkapa akawapa dozi live pale Jangwani wale wote wanaosema "ukombozi" kwa kauli ya Mkapa alisema ni "wapumbavu na malofa", wote wanaosema eti ukombozi.
Dozi hiyo ya Mkapa imewaingia na toka siku hiyo sijaliona hilo neno au kama nimeliona tena basi ni mara moja au mbili kwa wale ambao dozi haijawaingia vizuri.
Haikupita muda nikamsikia kwenye video kupitia hapa hapa JF Lowassa akiongea kanisa la kilutheri akisema wamchaguwe kwa kuwa yeye ni Mlutheri na hakuna mluteri aliywahi kuwa rais.
Kwa hayo sasa nnaamini "mabadiliko" wayatakayo ukawa ndio hayo ya kutaka dhehebu fulani na watu wa kanda ndiyo watawale.
Kwa sababu nimewasoma sana humu JF, wao wanasema wanataka mabadiliko tu, ukiwauliza "ya nini hayo mabadiliko" hawasemi! Jibu lao ni "sisi tunataka mabadiliko tu"!
Magufuli ananadi mabadiliko na anaeleza hayo mabadiliko yatakuwa yepi.
Ukweli ni kuwa hawa wote wanaobwabwaja mabadiliko domo linakuwa zege inapokuja kusema mbele za watu ni mabadiliko yepi watakayo na sababu ni hiyo, wanataka mabadiliko ya dhehebu na ukanda. Hata Lowassa alipolisema hilo aliwafukuza waandishi wa habari kanisani abaki na walutheri wenza tu.
Watanzania tusiwasikilize hawa hata kidogo, hiyo agenda yao ya udini na ukanda waliifanya siri lakini Mwenyeezi Mungu hamfichi mnafik, Lowassa alidhani anaongea siri na walutheri wenzake kumbe kuna mtu amemrekodi, ni hatari sana.
Tazama list ya ukawa inayoongozana na Lowassa. Wote walutheri na wote wa kaskazini, Lowassa, Mbowe, Sumaye, Mbatia. Nnamuombea salama tu yule mtu aliye mrekodi, maana watu wakifikia kiasi hicho wanakuwa ni hatari sana.
Hawa watu ni hatari sana tena sana. Tuhakikishe hawapati kura za kila mwenye kujitambuwa.
#HapaKaziTu
[h=2]Vurugu Mara: Msafara wa Heche wavamiwa, Mwanachama mmoja wa CHADEMA Afariki[/h]
Kwa namna hii nishaona kila dalili za ICC..... Too sad
" Msafara wangu umevamiwa na wanaccm wakati nikitoka kijiji cha mangucha kwenda kegonga watu wetu wameumizwa na mmoja amefariki dunia" Msg ya Heche kanithibitishia sasa hivi....
![]()
![]()
Mambo yanayohusu kuligawa taifa inabidi tuyakemee kwa nguvu zote na kuyalaani.
LOWASA kusema naomba mniombee nyie walutheri mna sababu ya kuomba zaidi ni kosa?Naam, Lowassa kanichaganya sana kwa udini aliouonesha wazi wazi,
Ni mtu hatari sana tena sana kwa amani ya taifa letu.
Huyo inabidi awe under constant surveillance.
Naam, Lowassa kanichaganya sana kwa udini aliouonesha wazi wazi,
Ni mtu hatari sana tena sana kwa amani ya taifa letu.
Huyo inabidi awe under constant surveillance.
Naam, nnatetemeka mikono kwa hasira ya hawa wapuuzi wachache wanaotaka kuligawa taifa.
Inasikitisha sana.
Si muda mrefu uliopita ilikuwa ni kawaida kusoma humu JF na kusikia kauli za "ukombozi" kutoka kwa baadhi ya watu.
Mimi, kupitia hii hii JF nikasema hiyo ni kauli aliyoitumia Luther alipokuwa anajitenga na RC.
Haikupita muda Mkapa akawapa dozi live pale Jangwani wale wote wanaosema "ukombozi" kwa kauli ya Mkapa alisema ni "wapumbavu na malofa", wote wanaosema eti ukombozi.
Dozi hiyo ya Mkapa imewaingia na toka siku hiyo sijaliona hilo neno au kama nimeliona tena basi ni mara moja au mbili kwa wale ambao dozi haijawaingia vizuri.
Haikupita muda nikamsikia kwenye video kupitia hapa hapa JF Lowassa akiongea kanisa la kilutheri akisema wamchaguwe kwa kuwa yeye ni Mlutheri na hakuna mluteri aliywahi kuwa rais.
Kwa hayo sasa nnaamini "mabadiliko" wayatakayo ukawa ndio hayo ya kutaka dhehebu fulani na watu wa kanda ndiyo watawale.
Kwa sababu nimewasoma sana humu JF, wao wanasema wanataka mabadiliko tu, ukiwauliza "ya nini hayo mabadiliko" hawasemi! Jibu lao ni "sisi tunataka mabadiliko tu"!
Magufuli ananadi mabadiliko na anaeleza hayo mabadiliko yatakuwa yepi.
Ukweli ni kuwa hawa wote wanaobwabwaja mabadiliko domo linakuwa zege inapokuja kusema mbele za watu ni mabadiliko yepi watakayo na sababu ni hiyo, wanataka mabadiliko ya dhehebu na ukanda. Hata Lowassa alipolisema hilo aliwafukuza waandishi wa habari kanisani abaki na walutheri wenza tu.
Watanzania tusiwasikilize hawa hata kidogo, hiyo agenda yao ya udini na ukanda waliifanya siri lakini Mwenyeezi Mungu hamfichi mnafik, Lowassa alidhani anaongea siri na walutheri wenzake kumbe kuna mtu amemrekodi, ni hatari sana.
Tazama list ya ukawa inayoongozana na Lowassa. Wote walutheri na wote wa kaskazini, Lowassa, Mbowe, Sumaye, Mbatia. Nnamuombea salama tu yule mtu aliye mrekodi, maana watu wakifikia kiasi hicho wanakuwa ni hatari sana.
Hawa watu ni hatari sana tena sana. Tuhakikishe hawapati kura za kila mwenye kujitambuwa.
#HapaKaziTu
Inasikitisha sana.
Si muda mrefu uliopita ilikuwa ni kawaida kusoma humu JF na kusikia kauli za "ukombozi" kutoka kwa baadhi ya watu.
Mimi, kupitia hii hii JF nikasema hiyo ni kauli aliyoitumia Luther alipokuwa anajitenga na RC.
Haikupita muda Mkapa akawapa dozi live pale Jangwani wale wote wanaosema "ukombozi" kwa kauli ya Mkapa alisema ni "wapumbavu na malofa", wote wanaosema eti ukombozi.
Dozi hiyo ya Mkapa imewaingia na toka siku hiyo sijaliona hilo neno au kama nimeliona tena basi ni mara moja au mbili kwa wale ambao dozi haijawaingia vizuri.
Haikupita muda nikamsikia kwenye video kupitia hapa hapa JF Lowassa akiongea kanisa la kilutheri akisema wamchaguwe kwa kuwa yeye ni Mlutheri na hakuna mluteri aliywahi kuwa rais.
Kwa hayo sasa nnaamini "mabadiliko" wayatakayo ukawa ndio hayo ya kutaka dhehebu fulani na watu wa kanda ndiyo watawale.
Kwa sababu nimewasoma sana humu JF, wao wanasema wanataka mabadiliko tu, ukiwauliza "ya nini hayo mabadiliko" hawasemi! Jibu lao ni "sisi tunataka mabadiliko tu"!
Magufuli ananadi mabadiliko na anaeleza hayo mabadiliko yatakuwa yepi.
Ukweli ni kuwa hawa wote wanaobwabwaja mabadiliko domo linakuwa zege inapokuja kusema mbele za watu ni mabadiliko yepi watakayo na sababu ni hiyo, wanataka mabadiliko ya dhehebu na ukanda. Hata Lowassa alipolisema hilo aliwafukuza waandishi wa habari kanisani abaki na walutheri wenza tu.
Watanzania tusiwasikilize hawa hata kidogo, hiyo agenda yao ya udini na ukanda waliifanya siri lakini Mwenyeezi Mungu hamfichi mnafik, Lowassa alidhani anaongea siri na walutheri wenzake kumbe kuna mtu amemrekodi, ni hatari sana.
Tazama list ya ukawa inayoongozana na Lowassa. Wote walutheri na wote wa kaskazini, Lowassa, Mbowe, Sumaye, Mbatia. Nnamuombea salama tu yule mtu aliye mrekodi, maana watu wakifikia kiasi hicho wanakuwa ni hatari sana.
Hawa watu ni hatari sana tena sana. Tuhakikishe hawapati kura za kila mwenye kujitambuwa.
#HapaKaziTu