Kumbe mabadiliko wanayonadi UKAWA ni...

Kumbe mabadiliko wanayonadi UKAWA ni...

Luther alipojitenga na RC, alisema "Tunataka mabadiliko" i maana alikuwa hajaridhika na baadhi ya mambo ambayo yalikuwamo RC kwa kipindi hicho.


Lowasa anaposema "Tunataka mabadiliko" anataka kututoa hapa tulipo tuwezze kubadilika kimaisha. Kupitia mikataba yenye utata kimaslahi kwa Taifa, kufufua viwanda vilivyoliwa na mchwa pamoja na Panya.

Sisi tunaposema tunataka mabadiliko tunaungana kabisa na Mh. Rais Mtarajiwa Lowasa pia tuna nia ya kuondoa mfumo mbovu ulioshindwa kutuletea maendeleo na kutufanya tuwe MALOFA NA WAPUMBAVU. Hivyo tunataka kuuondoa tarehe 25/10/2015.

Tanzania tulipata Uhuru lakini ni wa Bendera hivyo tunahitaji ukombozi.


MIZMBWA
INANIUMA SANA!!!

Unazidi kusherehesha kauli yangu ya post namba moja.

Kasikilize post namba 2.
 
Inasikitisha sana.

Si muda mrefu uliopita ilikuwa ni kawaida kusoma humu JF na kusikia kauli za "ukombozi" kutoka kwa baadhi ya watu.

Mimi, kupitia hii hii JF nikasema hiyo ni kauli aliyoitumia Luther alipokuwa anajitenga na RC.

Haikupita muda Mkapa akawapa dozi live pale Jangwani, wale wote wanaosema "ukombozi" kwa kauli ya Mkapa alisema ni "wapumbavu na malofa".

Dozi hiyo ya Mkapa imewaingia vizuri sana na toka siku hiyo sijaliona hilo neno au kama nimeliona tena basi ni mara moja au mbili kwa wale ambao dozi haijawaingia vizuri.

Haikupita muda nikamsikia kwenye video, kupitia hapa hapa JF, Lowassa akiongea kanisa la kilutheri akisema wamchaguwe kwa kuwa yeye ni Mlutheri na hakuna Mlutheri aliyewahi kuwa Rais kwa hiyo sasa ni zamu yao.

Kwa hayo, sasa nnaamini "mabadiliko" wayatakayo UKIWA ndio hayo ya kutaka dhehebu fulani na watu wa kanda ndiyo watawale.

Kwa sababu nimewasoma sana humu JF, wao wanasema wanataka mabadiliko tu, ukiwauliza "ya nini hayo mabadiliko" hawasemi! Jibu lao ni "sisi tunataka mabadiliko tu"!


#HapaKaziTu


Shida ni kwamba hutaki kuwasikia -unaelewa maana ya UKAWA au umeziba masikio?

UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI-Warioba, who is popularly known as a disciple of independence-era president Julius Nyerere, said the three-tier government is inevitable.



Unajua kwanini walitoka?
Unakumbuka hoja yao nini?
Unakumbuka Rasimu ya Warioba

[h=3]Wabunge wa upinzani watoka nje ya Bunge - YouTube[/h]

[h=3]Tanzania: Joseph Sinde Warioba and the Union | East ...[/h]

"It's not Warioba's opinion nor that of the commission but rather it's the majority of the people interviewed," Warioba repeated in late march in the Constituent Assembly (CA) while presenting the CRC report to the more than 600 members who must approve the draft constitution before a referendum.
"The commission wants to kill the union and that's why it has come up with such a proposal, which has no scientific backing in numbers," Nnauye told reporters after the second draft constitution was presented.
Warioba, who is popularly known as a disciple of independence-era president Julius Nyerere, said the three-tier government is inevitable.


 
sipendi hata kusikia hizi porojo,cc tumeshachagua tunasubiri sanduku
 
Kabla Magufufuli hajateuliwa ulkuwa unawananga sana wakatoliki mpaka kuwaita magalatia. Leo umehmia kwa waluteri?

Nisome tena halafu sikiliza na tazama post namba mbili. Labda itakusaidia kunielewa.

Nnajuwa una kichwa kigumu sana katika kuelewa na kufahamu lakini jaribu kufanya hivyo labda itakusaidia.
 
Inasikitisha sana.

Si muda mrefu uliopita ilikuwa ni kawaida kusoma humu JF na kusikia kauli za "ukombozi" kutoka kwa baadhi ya watu.

Mimi, kupitia hii hii JF nikasema hiyo ni kauli aliyoitumia Luther alipokuwa anajitenga na RC.

Haikupita muda Mkapa akawapa dozi live pale Jangwani, wale wote wanaosema "ukombozi" kwa kauli ya Mkapa alisema ni "wapumbavu na malofa".

Dozi hiyo ya Mkapa imewaingia vizuri sana na toka siku hiyo sijaliona hilo neno au kama nimeliona tena basi ni mara moja au mbili kwa wale ambao dozi haijawaingia vizuri.

Haikupita muda nikamsikia kwenye video, kupitia hapa hapa JF, Lowassa akiongea kanisa la kilutheri akisema wamchaguwe kwa kuwa yeye ni Mlutheri na hakuna Mlutheri aliyewahi kuwa Rais kwa hiyo sasa ni zamu yao.

Kwa hayo, sasa nnaamini "mabadiliko" wayatakayo UKIWA ndio hayo ya kutaka dhehebu fulani na watu wa kanda ndiyo watawale.

Kwa sababu nimewasoma sana humu JF, wao wanasema wanataka mabadiliko tu, ukiwauliza "ya nini hayo mabadiliko" hawasemi! Jibu lao ni "sisi tunataka mabadiliko tu"!

Magufuli ananadi mabadiliko na anaeleza hayo mabadiliko yatakuwa yepi.

Ukweli ni kuwa hawa wote wanaobwabwaja mabadiliko domo linakuwa zege inapokuja kusema mbele za watu ni mabadiliko yepi wayatakayo na sababu ni hiyo, wanataka mabadiliko ya dhehebu na ukanda. Hata Lowassa alipolisema hilo aliwafukuza waandishi wa habari kanisani akabaki na Walutheri wenzake tu.

Watanzania tusiwasikilize hawa hata kidogo, hiyo agenda yao ya udini na ukanda waliifanya siri lakini Mwenyeezi Mungu hamfichi mnafik, Lowassa alidhani anaongea siri na Walutheri wenzake, kumbe kuna mtu amemrekodi, ni hatari sana.

Tazama list ya ukawa inayoongozana na Lowassa. Wote Walutheri na wote wa Kaskazini; Lowassa, Mbowe, Sumaye, Mbatia.

Nnamuombea salama tu yule mtu aliye mrekodi Lowassa, maana watu wakifikia kiasi hicho wanakuwa ni hatari sana.

Hawa watu ni hatari sana tena sana na ni wabaguzi wa hali ya juu. Tuhakikishe hawapati kura za kila mwenye kujitambuwa.

#HapaKaziTu
Kazi gani hiyo aisee kwani wewe huwa unaajiri watu kuchapa usingizi? beware of simple minds!
 
Hao Waunguja wote uliowataja hawana cha kupoteza, si mlikuwa mnasema CCM B hao, vipi leo?

Abdallah safari yuko pale kikazi zaidi - huyo tunamjuwa.

Leo wakombozi -kupitia UKAWA-mtawaelewa tu 25/10/2015 kwenye sanduku la kura.
 
Tena kwa hili la udhehebu na tukateee.aisitugawe...hafai kwenda ikulu....weka mbali na wapiga kuraaaa
 
LOWASA kusema naomba mniombee nyie walutheri mna sababu ya kuomba zaidi ni kosa?
Magufuli kusema ukichagua upinzani nchi itakuwa kama Libya amani itatoweka .siyo kosa ?



MTASEMA SANA MTAANDIKA SANA JF LAKINI MWAKA HUU CCM IONDOKE MADARAKANI.

Kamsikilize vizuri.

Jee kuombewa pekee kwanini alimtaja Nyerere? Kwanini alimtaja Mkapa? Umesahau?

Kwa maneno aliyoongea Lowassa, Magufuli anatahadharisha sawa sawa, mwenye akili ataelewa.
 
Nisome tena halafu sikiliza na tazama post namba mbili. Labda itakusaidia kunielewa.

Nnajuwa unakichwa kigumu sana katika kuelewa na kufahamu lakini jaribu kufanya hivyo labda itakusaidia.

Kumbe unajua kuwa kichwa changu kigumu? Kilikuingia vizuri naona....
 
UKAWA pamoja na kuwa ni muunganiko wa vyama vinne lakini havina ajenda ya Pamoja.

Ni kama wamekurupushwa, wakati uchaguzi ni maandalizi ya miaka mitano baada ya uchaguzi mwingine.

Tulitegemea huu muungano ungekua na hoja za msingi za kukitikisa ccm, lakini hawajafika hata nusu ya uwezo wa Chadema 2010.

Zaidi wanachotegemea ni mafuriko (ya kutengeneza)na ccm kuchokwa na wananchi.
Unaniangusha jamaa yangu; ina mana hujui agenda ya UKAWA ni katiba ya wananchi ambayo ina maadili ya uongozi na ulinzi wa rasilimali za nchi? sisiem si waliikataa agenda hii maana yake ni nini? si wanataka waibe?
 
Eti hapa kazi tu,kumbe miaka hamsini mlikuwa mmesinzia,poleni sana mtu wetu mzee wa mvi ameshawaambia muanze kuandaa karatasi za makabidhiano kwa amani,mwaka huu watanzania tumeshasema sasa basi yatosha.LIPUMBA wenu na DR SLAA zilizokuwa silaha za mwisho zimeshindwa,sembuse ninyi dagaa mliojificha nyuma ya keyboard?poleni sana.
 
Huyu alie andika hapa akili zake zimeisha
 
Kaka tatizo LA vjana wengi wa tz wanakurpka tu.ila kuna weny kuona mbali zaid.ccm ndo habar ya jiji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom