Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,029
- 52,507
Pole na hongera .udongo me sijawai kupenda.me maharage kila saa.nyama niliacha kabisaMie ile first trimester niliteseka mnooo Kutema mate kila dk kula udongo hatari sana nikishtuka hata saa tisa uck natafuta udongo ulipo nakula nalala plus presha kushuka naanguka mpaka nipate drip ndo nakuwa sawa chakula akipandi zaidi ya kula Bagia tu na mchemsho wa samaki mbichiplus maini ndo vyakula vyangu mpk hatua ya mwisho..Eeeeh Mtoto anatoka mbali mweeh kuitwa Mama sio mchezo
Ahaaa mcheki roza reeUkiona mimba za instagram jamani utadhani haziwasumbui.
Yaani mimi ungenionea huruma kulala shida kukaa shida.nikishiba shida njaa shida yaani nilikuwa hooi napumua pumua tu duniani hapa.ila nitarudia sijakoma hata
Nimecheka kwa sautiJamani kwema?
Ila wanawake ni wasiri jamani, mbona hata hamsemagi kwamba hizi "morning sickness" hilo ni neno tu ila inashinda siku nzima jamani?
Natamani hata mtu angeniambia kwamba ni vichefuchefu siku nzima. Mimi nilijua kama jina lilivyo basi ikifika mchana natakiwa niwe fresh.
Week 8 sasa ila food eversion na nausea muda wote. Kila chakula ninachokifikiria nahisi kichefuchefu.
Nahisi kuumwaumwa tu nikikaa sisikii raha nikilala sisikii raha bora hata kutembea tembea nje. Hiki kichefuchefu natamani hata nitapike ila ni kichefuchefu tu bila kutapika. Khaaa hadi natamani nipige mayowe.
Acha tu jamani watu waringe na watoto wao. Sasa nimeelewa.
Atubrief mapema tujipange😀😀Heri wewe unaweka uhalisia
Tofauti na hivyo ulivyotaja kingine ni nini kinakera ili tujiandae mambo yakiwa mambo
Hivi hii huduma bongo pia wanafanyaHongera na pole sana maana it's a near death experience
View attachment 2735536
Siku ya kawaida saaaana TU.Kwani ukiwa kwenye hedhi hupati maumivu ya tumbo!!!!Pole shosti
Hapo trela subiri ile siku ifike utaimba nyimbo mpya bila kujua unalia machozi hayatoki unatamani yatoke yakufariji ila Hollah..Acha Mungu aitwe Mungu
Ova
Hapo bado kivumbi cha uchungu ,mayo wee sitak kukumbukaJamani kwema?
Ila wanawake ni wasiri jamani, mbona hata hamsemagi kwamba hizi "morning sickness" hilo ni neno tu ila inashinda siku nzima jamani?
Natamani hata mtu angeniambia kwamba ni vichefuchefu siku nzima. Mimi nilijua kama jina lilivyo basi ikifika mchana natakiwa niwe fresh.
Week 8 sasa ila food eversion na nausea muda wote. Kila chakula ninachokifikiria nahisi kichefuchefu.
Nahisi kuumwaumwa tu nikikaa sisikii raha nikilala sisikii raha bora hata kutembea tembea nje. Hiki kichefuchefu natamani hata nitapike ila ni kichefuchefu tu bila kutapika. Khaaa hadi natamani nipige mayowe.
Acha tu jamani watu waringe na watoto wao. Sasa nimeelewa.
Pesa ya saloon si alikuwa anatuma?
Haya sasa ...jikaze
Pata mtoto chap, halafu uni-pm nije nikupasue tako😋 Miss NatafutaMwishoni furaha ya kupata mtoto wala huoni shida yoyote asikutishe .hata wakipasua tako husikii
HakikaPole shosti
Hapo trela subiri ile siku ifike utaimba nyimbo mpya bila kujua unalia machozi hayatoki unatamani yatoke yakufariji ila Hollah..Acha Mungu aitwe Mungu
Ova
Ungekuwa Idete kule Dabaga Kilolo au ungekuwa Ilunde kule Inyonga Katavi umeolewa na msukuma hadi afanye vibarua vya kufyetua tofali ndio mpate pesa ya kula hayo yasingetokea. Ni kujiendekeza tu, mbona wengine wake zetu hawana hayo. Kwa watoto wote 4, sijawahi shuhudia hayo. Mungu awasaidie sana.Mie ile first trimester niliteseka mnooo Kutema mate kila dk kula udongo hatari sana nikishtuka hata saa tisa uck natafuta udongo ulipo nakula nalala plus presha kushuka naanguka mpaka nipate drip ndo nakuwa sawa chakula akipandi zaidi ya kula Bagia tu na mchemsho wa samaki mbichiplus maini ndo vyakula vyangu mpk hatua ya mwisho..Eeeeh Mtoto anatoka mbali mweeh kuitwa Mama sio mchezo
Mnamtisha tu na kujiendekeza. Usister do na kujiendekeza ndio unawasumbua. Wengine huku vijijini wanajifungua leo kesho anaenda shamba. Mwaka 2014, mke wangu anaenda jifungua mtoto wa 4 pale Morogoro Hospital tumemsindikiza labour nikakuta binti mmoja anapiga kelele huku anamtukana mmewe. Yule binti kila anachoambiwa na wale wakunga/manesi hasikii yeye ni kujiliza tu mara ajipige selfie mara aangalie kama makope bandia yameanguka, mara alie mbona k yangu inatanuka mara inachanika na upuuzi kibao. Wale wasaidizi wakamwambia kama unaleta ujuaji, tutakuacha ufe.Hapo bado kivumbi cha uchungu ,mayo wee sitak kukumbuka
Mmmh uliwahi ku experience?Hongera na pole sana maana it's a near death experience
View attachment 2735536
Ndio...Mmmh uliwahi ku experience?
Yaani huyo asieumwa ndio Mimi,sinaga Cha morning sickness,sinaga Cha kumchukia mtu au kumpenda mtu Mimi ni Mimi tu,kivumbi ni sipendi njaa, napenda kula kila kinacholiwaMie nashangaaga wengine hawaumwi kabisa...wengine hizo morning sickness had unaingia labor🙌
Pole sanaNdio...
Hivi unaakili weweUmeolewa au ni usingo maza kwenda mbele