Chubbylady
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 621
- 1,019
Kuna ile kutema mate inaweza kwenda na wewe hadi unaingia leba
Hapo uso haujajaa kama tofali
Ila watoto wa kiume hawatesi kama wa kike
Kama mimba ya boy hupati shida sana
Baby girl sasa daah
Yaani mimi ungenionea huruma kulala shida kukaa shida.nikishiba shida njaa shida yaani nilikuwa hooi napumua pumua tu duniani hapa.ila nitarudia sijakoma hataWeee wengine wanasema bora mimba ya mtoto wa kike...
Mimi yangu ya mtoto wa kike sikuwa natapika wala nn nilikua nakula kila kitu sikuvimba uso wala nini ngozi ilikua nzuri na kazi nimefanya mpaka ile wiki ya kujifungua
Ko mimba kila mtu na inavomjia haina mtoto flan ni bora kuliko flan
Sidhani kama kuna kitu kinasaidia looh bahati tuPole jamani. Mimi sjawah pata hiyo changamoto nasikia tu watu wanasimulia. Jitajid kunywa tangawizi inasaidia sana kwenye kichefuchefu
Thread nzima wewe 💯💯💯💯💯💯Hiyo hali utakua nayo katika miezi mitatu ya mwanzo 'First Trimester' baada ya hapo utakua poa na kuenjoy ujauzito wako,
Mtoto akianza kucheza ni best experience ever, gusa gusa tumbo lako mara kwa mara ili mtoto afeel your love, zungumza na mtoto wako, muimbie nyimbo nzuri za watoto,msomee hadithi, kua happy muda wote epuka stress na hasira, wamatumbi wana msemo wao "happy mother, happy baby"
Zingatia mlo kamili kwani a healthy child anatokana na chakula bora cha mama, lakini pia uzingatie na diet yako pia usile kama fukufuku na kunenepeana hovyo,
Hongera sana Mama mtarajiwa, nakuombea kheir kwako na kwa mtoto mvuke salama,
NB: Hayo utayakuta kwenye second na third trimester ila kwa sasa msoto lazima.
Hongera wanawake wenzako wanatamani wapate mtoto lakini mwenyezi Mungu hajawajalia mshukuru sana Mungu wako.Hayo mambo ya kichefu chefu na complications zote zitapita na utapata mtoto na kusahau mambo ya kichefu chefu.Jamani kwema?
Ila wanawake ni wasiri jamani, mbona hata hamsemagi kwamba hizi "morning sickness" hilo ni neno tu ila inashinda siku nzima jamani?
Natamani hata mtu angeniambia kwamba ni vichefuchefu siku nzima. Mimi nilijua kama jina lilivyo basi ikifika mchana natakiwa niwe fresh.
Week 8 sasa ila food eversion na nausea muda wote. Kila chakula ninachokifikiria nahisi kichefuchefu.
Nahisi kuumwaumwa tu nikikaa sisikii raha nikilala sisikii raha bora hata kutembea tembea nje. Hiki kichefuchefu natamani hata nitapike ila ni kichefuchefu tu bila kutapika. Khaaa hadi natamani nipige mayowe.
Acha tu jamani watu waringe na watoto wao. Sasa nimeelewa.
Una Akili Wewe Safi Sanaaaaaa kwa ushauri Mzuri Hata Mimi baba nimesikia RahaHiyo hali utakua nayo katika miezi mitatu ya mwanzo 'First Trimester' baada ya hapo utakua poa na kuenjoy ujauzito wako,
Mtoto akianza kucheza ni best experience ever, gusa gusa tumbo lako mara kwa mara ili mtoto afeel your love, zungumza na mtoto wako, muimbie nyimbo nzuri za watoto,msomee hadithi, kua happy muda wote epuka stress na hasira, wamatumbi wana msemo wao "happy mother, happy baby"
Zingatia mlo kamili kwani a healthy child anatokana na chakula bora cha mama, lakini pia uzingatie na diet yako pia usile kama fukufuku na kunenepeana hovyo,
Hongera sana Mama mtarajiwa, nakuombea kheir kwako na kwa mtoto mvuke salama,
NB: Hayo utayakuta kwenye second na third trimester ila kwa sasa msoto lazima.
Inasaidia kichefu chefu sio kutapika. Mimi nasikia wengine ikiwasaidia maana sijawahi pata morning sicknessSidhani kama kuna kitu kinasaidia looh bahati tu
Nakumbuka kwenye group tuliambiwa hivo ila wengi haikusaidiaInasaidia kichefu chefu sio kutapika. Mimi nasikia wengine ikiwasaidia maana sijawahi pata morning sickness
😂😂😂Kwa kweli hadi kuna wakati nakuwa sitamani abebe mimba tena.
Maana inakuwa aibu Mwanaume mzima nakaa na kikopo ofisini eti kutema mate alafu kwenye kulamba malimao sasa nalamba utasema mashindano.
Kwa kweli inachosha
😂😂😂😂JamaniNi kweli nilichekelea na ilikuwa tamu balaa kuliko siku zote kumbe yai lilikuwa linataka mbegu lirutubishwe🤣🤣.
Duhhh!!Hongera na pole sana maana it's a near death experience
View attachment 2735536
Thread closed!!Hiyo hali utakua nayo katika miezi mitatu ya mwanzo 'First Trimester' baada ya hapo utakua poa na kuenjoy ujauzito wako,
Mtoto akianza kucheza ni best experience ever, gusa gusa tumbo lako mara kwa mara ili mtoto afeel your love, zungumza na mtoto wako, muimbie nyimbo nzuri za watoto,msomee hadithi, kua happy muda wote epuka stress na hasira, wamatumbi wana msemo wao "happy mother, happy baby"
Zingatia mlo kamili kwani a healthy child anatokana na chakula bora cha mama, lakini pia uzingatie na diet yako pia usile kama fukufuku na kunenepeana hovyo,
Hongera sana Mama mtarajiwa, nakuombea kheir kwako na kwa mtoto mvuke salama,
NB: Hayo utayakuta kwenye second na third trimester ila kwa sasa msoto lazima.
Thank u dearThread closed!!
Umemaliza kila kitu!
Mie ile first trimester niliteseka mnooo Kutema mate kila dk kula udongo hatari sana nikishtuka hata saa tisa uck natafuta udongo ulipo nakula nalala plus presha kushuka naanguka mpaka nipate drip ndo nakuwa sawa chakula akipandi zaidi ya kula Bagia tu na mchemsho wa samaki mbichiKuna ile kutema mate inaweza kwenda na wewe hadi unaingia leba
Hapo uso haujajaa kama tofali
Ila watoto wa kiume hawatesi kama wa kike
Kama mimba ya boy hupati shida sana
Baby girl sasa daah