Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,373
- 7,557
sheria ya usalama barabarani inataka ubandike tena kioo cha mbele kushoto ha haaaa tusome sheria japo tunapokuwa tumeama vizuri la sivyo tutapigwa sanaaaMkuu, kivipi. Siku hizi ukienda kukata Bima haupewi kile cha kubandika ila unapewa tu katarasi kubwa ya A4 inayoonesha umelipia Bima. Sasa utabandikaje?